Saint Anne
JF-Expert Member
- Aug 19, 2018
- 77,819
- 233,246
Mama mjamzito..





.Mama mjamzito..
Watu huwa wanaichukulia hii pic kivingine wasipoiangalia vizuri
Sent using Jamii Forums mobile app
Wenzio hawaoni hivyo.


Mpo Kwenye harakati za vikao huko ubeligiji.
Ngoja nimwite japo akupungie mkono
Sent using Jamii Forums mobile app



nakuja huko uniambie
Wenzio hawaoni hivyo.
Wanaona kitu kingine..usiniulize Ni kipi
Kama unakitaka njoo WhatsApp uniulize
Sent using Jamii Forums mobile app
Hicho kikao cha ubelgiji mbona sina taarifa nacho??
Nilimfuata kule siasani kumuuliza alikuwa wapi ila hajajibu!!
Sent using Jamii Forums mobile app




yaani nikikumbuka zile takwimu zake alizokuwa analeta nilikuwa nacheka Hadi nakaa chini.



yaani nikikumbuka zile takwimu zake alizokuwa analeta nilikuwa nacheka Hadi nakaa chini.
Ooh atakuwa hajaona,ila yupo kwa kweli,,amesikia kummiss kwetu
Sent using Jamii Forums mobile app


sawa kaka,, heri ya mwaka mpya na mafanikio..
Ukimalizana naye na mimi naomba nije wasapu unifafanulie
Hahahaha, ushafika hadi huko Wasap ?aseeUkimalizana naye na mimi naomba nije wasapu unifafanulie
