Selfika na JF: Snap it. Show it

Selfika na JF: Snap it. Show it

Nipo dar,...aisee joto Kama khatum Sudan..
1577972250196.jpeg


Sent using Jamii Forums mobile app
 
happy new year kwenu nyote mashabiki kindakindaki wa uzi huu.

nipo zanzibar katika matembezi na mapumziko ya sikukuu za mwisho wa mwaka.

leo nilienda kuitembelea hotel verde. ukiondoa suala la kutouza aina yoyote ya kilevi, huduma zao zipo poa sana kwa bei nafuu.

hotel hii ya nyota tano inamilikiwa na mwekezaji mzawa said salim bakhresa.

kwangu huu ni uwekezaji mkubwa sana katika sector ya huduma za hotel kuwahi kuushuhudia ukifanywa na mtanzania.
GIF-200102_190054.gif
View attachment 1310360
 
moja kati ya watu maarufu duniani wanaokula bata mpaka kuku anaona wivu ni dan bilzerian.

huyu jamaa ni playboy maarufu sana huko "unyamwezini", picha zake nyingi huwa anaonekana kuzungukwa na walimbwende mbalimbali.

hii ni recap ya baadhi ya bata alizokula mwaka jana.
GIF-200102_194335.gif
 
Back
Top Bottom