mfate42
JF-Expert Member
- Nov 16, 2014
- 4,061
- 4,847
Shida yote ya nini si utembee na feni kwenye begiNipo dar,...aisee joto Kama khatum Sudan..View attachment 1310213
Sent using Jamii Forums mobile app
Na uchumi huu mbona inawezekana tu mkuu
Umenikumbusha huyu batterfly...huyu dada sijui kaenda wapi.Daah hata sijui mama utanifanya nilie bure maana nimewamiss hao watu vibaya hovyo ukiwaongeza Noelia na The iron batterfly
Kuhusu cute b labda tumuulize Jael
Sent using Jamii Forums mobile app