Mkuu, nadhani ungeanzia 2008 kurudi nyuma angalau kidogo ungeitendea haki Bongo Fleva..
Kuanzia 2009/2010 hapo ndio zikaanza hizi vurugu za beat makers na wasanii wao kuvuruga ladha ya kamziki ketu..
Ngoma ya 2014 uipe hadhi ya Old Skool? Cu'moon.
Sent using
Jamii Forums mobile app