sumbai
JF-Expert Member
- Jun 16, 2014
- 20,890
- 47,611
Hizi zawadi mbona unatoa kwa upendeleo?


Nice one
Tutaenda wote mkwe...Take me with you![]()
Si ndio nakuja tupange safariTutaenda wote mkwe...
Halafu kuna taswira mnato nimeona mara ghafla siioni...where to?


Dogo vipi?Duh, kweli maisha tunatofautiana sana
Indeed mkuu na kwako pia mkuu....little things are what matters mostkama wewe ni mmoja ya watu ambao wamekuwa wanatoa "LIKES" kwenye post zangu ndani ya topic hii, basi fahamu wewe ni mtu wa thamani sana kwangu.
uwe na sherehe njema za xmas na mwaka mpya.
hawa ni baadhi tu, najua mpo wengi. shukrani kwenu wote.
View attachment 1301632View attachment 1301633
Hahah...sasa mbona hujaniambia nije kukupokeaSi ndio nakuja tupange safari![]()
Hii coment ndiyo imenifanya nirudi juu hahahahaha....watoto muda wao bado wa kutoa tongotongo
Ukikua nawe utafaidi.