I guess hiyo ni cruise ship zile zinakuwa kama kijiji cha maraha hivi...
Unalipa mtonyo fulani wa kutosha then mna cruise across nchi kadhaa "nowhere voyages" ili tu kutafuna kuku na bata wa kisasa...
Ndio muolewe na kina Dangote mle bata, mnakwama wapi wadada kuolewa na kina siye wa kwa Mtogole, mnaishia kugonga misumari na sare ya jela...