Selfika na JF: Snap it. Show it

I guess hiyo ni cruise ship zile zinakuwa kama kijiji cha maraha hivi...

Unalipa mtonyo fulani wa kutosha then mna cruise across nchi kadhaa "nowhere voyages" ili tu kutafuna kuku na bata wa kisasa...

Ndio muolewe na kina Dangote mle bata, mnakwama wapi wadada kuolewa na kina siye wa kwa Mtogole, mnaishia kugonga misumari na sare ya jela...

Dah wengine ndiyo hatujui hata tutafika lini huko

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Nanyi mnakwama wapi kuwa kama Dangote hadi mtukwamishe na sisi
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…