Selfika na JF: Snap it. Show it

Selfika na JF: Snap it. Show it

We Hawachi si umeitwa mbona umejikausha?? Siku nyingine ukiitwa mbona huwa unakuja mbio leo vipi!! nasubiri vocha yangu ya buku,, TTCL hapa na ukizidi kuchelewa inaongezeka inakuwa ya buku mbili..

Ila daah hadi mie nimeshituka joanah kuweka picha mwee hatimaye,, hakika huo ni mwanzo mzuri sana..

Sent using Jamii Forums mobile app


Hivi Hawachi hajatuma hizo pesa tu?
 
Back
Top Bottom