MLEVi Mmoja
JF-Expert Member
- Jun 29, 2019
- 8,512
- 15,094
Hennessy,Taquila,Guiness sigusi kama sina uhakika wa ile kitu karibu.

ukisikia wanauza hisa nishtue aiseeMmh!
Hahahsla mkuu.Hiyo kitu stimu zake babkubwa,afu ukiamka asubuhi ile harufu mdomoni unajua Jana ulipiga pombe ya kiume.Noma mzee baba, mimi my favorite ni konyagiukisikia wanauza hisa nishtue aisee
Hizo bia mie macho yamenitoka

Mkono wako uko njema

Duh umependeza mashalahhhhhh Wallah miamia.
Mkono wako uko njema![]()


tuvishane pete aisee we are almost identical 
Nakufuata nimechoka na chichat humu ndani.Sasa ndio nnaweza kutoka, kupata upepo huko nje...View attachment 1297631