Selfika na JF: Snap it. Show it

Customer care za Bongo huwa hawapo serious sana...
Ni kweli kabisa, japo nimesaidika ila duuuh!!
Nimepiga akapokea mdada, sijui majibu kakaririshwa halafu kabishiiii[emoji134][emoji134] nikaona ananizingua, nikakata.
Nikapiga tena akapokea mdada, nikakata.

Nikapiga akapokea mkaka ana sauti ya kiume tamuuuu, hadi nimetamani shida isiishe [emoji85][emoji85]
 
Makubwaaa
 
Nimesaidika mama, wa kwanza ndio alizingua.
 
[emoji23][emoji23][emoji1787][emoji1787]aki we siyo mzima
Sent using Jamii Forums mobile app
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…