Hivi kwani huko off JF huwa wanaume hawawatokei?
Kwa nini ikiwa ni wa JF inakuwa tofauti? I guess it aint something of a big deal as long as anayekutokea sio roboti ni mtu...na huwa hakuna mipaka ya namna mtu anavutiwa na mtu mwingine
Just saying...
CC
Karma