Selfika na JF: Snap it. Show it

Mmhh sie kufinywa ndiyo hapana,, kwa Mzee tumekula viboko sana tu tena vya makalio alikuwaga hapigi vya mikono wala wapi yeye anadili na nyama ya sirikali tu..

Bi Mdashi ukimkera chochote kilicho karibu yake ambacho ataweza kukinyanyua na kukurushia basi atafanya hivyo sana sana kiatu au rimoti,, lakini pia maza yuko vizuri kwenye kuongea kuliko kupiga yaani akianzaga kutusema kila mtu anatafuta njia yake..
Kwetu hakuna cha first born wala last born! Tumechezea kucha balaa!!

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Aiseee!! Wewe umekula bata sana jamani!!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…