Mmhh sie kufinywa ndiyo hapana,, kwa Mzee tumekula viboko sana tu tena vya makalio alikuwaga hapigi vya mikono wala wapi yeye anadili na nyama ya sirikali tu..
Bi Mdashi ukimkera chochote kilicho karibu yake ambacho ataweza kukinyanyua na kukurushia basi atafanya hivyo sana sana kiatu au rimoti,, lakini pia maza yuko vizuri kwenye kuongea kuliko kupiga yaani akianzaga kutusema kila mtu anatafuta njia yake..
Sent using
Jamii Forums mobile app