Atoto
JF-Expert Member
- Jul 19, 2013
- 89,378
- 176,233
Mie leo ndio mara ya kwanza kuionja. Ina sukari nyingi mno hadi nimetia maji.Hii kitu inasifiwa sana kwa utamu lazima nije kuionja.
Mie leo ndio mara ya kwanza kuionja. Ina sukari nyingi mno hadi nimetia maji.Hii kitu inasifiwa sana kwa utamu lazima nije kuionja.
Nimeona umekuwa mwingi mno.Napulizia mkuu. Kila nikitoka kuoga na mara nyingine naongezea katikati.
Kwa nini nisipulizie?
Sent using Jamii Forums mobile app



sasa si ndiyo ujue kwamba mtu yeyote anaweza akaedit vyovyote jamani
Hao wameedit bwana.
Ila sie wa vifaa vya mawasiliano tunaandikiwa "sent using jamii forums mobile app"
Ila wenye simu zinaandikwa jina la simu.
Siongelei hao waloedit, naongelea inayowekwa na jf. Kuna tofauti kati ya waloedit na og.sasa si ndiyo ujue kwamba mtu yeyote anaweza akaedit vyovyote jamani
Sent using Jamii Forums mobile app
Huh!! Mlango uko wazi, pita hadi jikoni uje kunisaidia kupika.

khaa hiyo ina sukari nyingi?? Mie naona ya kawaida sema ina kauchachu fulani hivi kooni!!
Mie leo ndio mara ya kwanza kuionja. Ina sukari nyingi mno hadi nimetia maji.
Siongelei hao waloedit, naongelea inayowekwa na jf. Kuna tofauti kati ya waloedit na og.
Huh!! Mlango uko wazi, pita hadi jikoni uje kunisaidia kupika.
Nimekuiga wewe.

lipi hilo??
Lol mi nilidhamiria kukata mahusiano kabisa na ID ya mwanzo, ila kila nikigeuka naitwa jina la zamani.
Id ya mwanzo ulikaa nayo muda mrefu, tukakuzoea kwa hiyo.Lol mi nilidhamiria kukata mahusiano kabisa na ID ya mwanzo, ila kila nikigeuka naitwa jina la zamani.
Mie hata soda huwa natia maji, naona sukari nyingi mno. Huo uchachu ndio utamu wa ukwaju sasa.khaa hiyo ina sukari nyingi?? Mie naona ya kawaida sema ina kauchachu fulani hivi kooni!!
Sent using Jamii Forums mobile app
Ubwabwa ndondo na kisamvu.
Id ya mwanzo ulikaa nayo muda mrefu, tukakuzoea kwa hiyo.
Hii ya sasa haijakaa kama jina bwana ndio maana tunaona bora tukuite lile lile tulokuzoea nalo.
Mkwe sasa wewe kila utamu wautia maji...!!!Mie hata soda huwa natia maji, naona sukari nyingi mno. Huo uchachu ndio utamu wa ukwaju sasa.
@depal unasalimiwa huku.
Mkwe yupo resiAcha utaniiii basi mkwe...
Si nimesema copy and paste