Selfika na JF: Snap it. Show it

Selfika na JF: Snap it. Show it

Enzi hiyo pale nyuma kati alikuwepo Popescu, Petrescu akicheza shavu la kushoto

Chivu kaanza kutumikia Euro2000 akiwa Ajax
Duh nawakumbuka mkuu.chuku
Screenshot_2019-12-16-11-28-01-1-1.png
a picha ya zawadi ya Xmas.
 
Daah aise can't wait for that experience,, ngoja niendelee kujipanga miaka mitatu mingi sana..
We can still plan...muda ndio sasa wa kupanga na kuamua...halafu tiketi unanunua hata miezi 6 kabla.

Nishawahi tazama games za Olympic nikiwa uwanjani, best experience ever (sitataja nchi)

Sent using Jamii Forums mobile app
 
If this was a movie, that'd be Leo, Al Pacino, Clooney, Denzel, Jack Nicholson, Michael Madsen, De Niro, and Joe Pesci. Only one club could assemble that.

View attachment 1294028

Huyo ni Guti, pembeni ya Roberto...?

Hiki kikosi kilikuwa hatari sana...ila kuna game moja hii sitakuja sahau Real vs Galatasaray, UCL hiyo...Madrid anakufa 3-2, Carlos nahisi hatakuja msahau Hassan Sas
 
Huyo ni Guti, pembeni ya Roberto...?

Hiki kikosi kilikuwa hatari sana...ila kuna game moja hii sitakuja sahau Real vs Galatasaray, UCL hiyo...Madrid anakufa 3-2, Carlos nahisi hatakuja msahau Hassan Sas

Yes yes, ni genius Guti. Hawa jamaa hawakuwa na discipline kabisa, ni bata tu. Carlos anasema baada ya mechi walikuwa wanakutana airport kila mtu ana private jet inamsumbiri kwenda kula bata. Hatari tupu.
 
Back
Top Bottom