Da'Vinci
JF-Expert Member
- Dec 1, 2016
- 36,007
- 108,555
Pole haina shida kabisa.. time is relative nobody late..Sijaona mimi jamani mdogo wangu!
Pole haina shida kabisa.. time is relative nobody late..Sijaona mimi jamani mdogo wangu!





OkayPole haina shida kabisa.. time is relative nobody late..



umejuaje yaani cheo changu akitoka Mshana tu ambaye ndiyo mwanzilishi nafuata mimi,, huko kwenye manyuzi yenu mniache sitaki stress kabisa mimi..
Naona Karma kawa mwenyekiti mwandamizi wa huu uzi. Kuna nyuzi nyingi huko za mafurushi simuoni kabisa.
Karibu kwa mji wa wenye mji
Shamba Time
View attachment 1293242
View attachment 1293247
View attachment 1293261
Sent from my iPhone using JamiiForums
Mkwe badilisha hiyo Avatar basi..
Kina nikiona comment yako nahisi unacheka kumbe siyo.
Sent using Jamii Forums mobile app
Mmmhhh
Hayo ndo maeneo yangu ya kujimwambafai











Shikamoo.Umeona eenh?? Mie mwenyewe huwa sipendi mtu anisalimie shikamoo hata niwe nimemzidi miaka mingapi!!
Sent using Jamii Forums mobile app
Nikupendaye..!!
Wacha weeeeMie ananiona kwa mema tu.

Bahati tu Jana Coco Beach kulikua na Garage kadhaa zina event free Diagnosis, free car wash
Ndio maana.
Sent from my iPhone using JamiiForums