hivi leo umepuliza cha wapi eti?? Sasa si bora hata uitwe ng'ombe mama,, watu tumetukanwa matusi ya haja kama matusi yangekuwa yanatoboa wengine saa hii miili yetu ingekuwa kama machujio..
Kumbe uzi wenyewe ndiyo huo,, basi siku hizi nimekuwa mvumilivu sana maana huo uzi leo mchana nimeupitia na nimesoma baadhi ya comments zao za kipuuzi ila nikapita kimya bila kutia neno.. yanashauriana ujinga tu
First ignore
Second hit where it hurt most...!!! Bila hivyo hatutaheshimiana.... Uhuru wa utambulisho bandia lazima uheshimiwe na usitumiwe vibaya na wasiojitambua
Kumbe uzi wenyewe ndiyo huo,, basi siku hizi nimekuwa mvumilivu sana maana huo uzi leo mchana nimeupitia na nimesoma baadhi ya comments zao za kipuuzi ila nikapita kimya bila kutia neno.. yanashauriana ujinga tu
Kuna mahali inafika uvumilivu unaisha.. Utu unakutoka... Maana inakera sana... Siku hizi sibishani na mtu.. Nambanika kimya kimya halafu namwendea PM namwambia wazi hiyo kazi ni mimi
Kuna mahali inafika uvumilivu unaisha.. Utu unakutoka... Maana inakera sana... Siku hizi sibishani na mtu.. Nambanika kimya kimya halafu namwendea PM namwambia wazi hiyo kazi ni mimi