Nimetoka kwenye uzi mmoja, watu wanapovuka balaa kuhusu ndoa!!
Kwenye akili zao wanajiona wanaume ni wasafi saaaana kwenye ndoa zao!! Hivi hao wanawake wanachepuka na miti?!
Hawajui tunavumilia mangapi kwenye haya mahusiano!! Mwanaume akishatendwa anaamua kusimama na kuanza kuchafua taasisi ya ndoa!!!
Kabla hujalalamikia ndoa jitathmini, na wewe ulikuwa msafi kiasi gani?!
Kila mtu afanye venye moyo wake unataka!!
Meamua kuja kutolea nyongo hukuu!!
Ndiyo mimi ni shahidi namba moja,, alisema hayo mapazia ubadilishe hadi na mimi nakumbuka nilimjibu..looh siyo kwa upambe nuksi huu
Sent using Jamii Forums mobile app
Wameniudhi sana!
Mie nawasomagaaa naishia tu kusonya kimoyomoyo. Ukiwakuta mafurushi wanavyopeana moyo kwenye hamna unaishia tu kusema "hiiiiiii" Mungu atufanyie wepesi.
Yaani wewe ni kapambe nuksi lolNdiyo mimi ni shahidi namba moja,, alisema hayo mapazia ubadilishe hadi na mimi nakumbuka nilimjibu..looh siyo kwa upambe nuksi huu
Sent using Jamii Forums mobile app
Mie nawasomagaaa naishia tu kusonya kimoyomoyo. Ukiwakuta mafurushi wanavyopeana moyo kwenye hamna unaishia tu kusema "hiiiiiii" Mungu atufanyie wepesi.
MAFURUSHI.Wameniudhi sana!
Nikaona nikiandika gazeti kule watanitoa roho!!
Sijui kama wale ni wanaume kweli ama wavulana!
Wameniudhi sana!
Nikaona nikiandika gazeti kule watanitoa roho!!
Sijui kama wale ni wanaume kweli ama wavulana!
Yaani, tena mtu anadiriki kumuita mwanamke ngombe, amemzalia tundama!! Imagine mwanaume anaweza ita watoto wake tundama!Sijui kwanini siwezagi kuvumilia kuona wanawake tukidhalilishwa na wanaume,, labda ipo siku nitaweza kuzikalia kimya hizo kejeli zao zote juu yetu..
Sent using Jamii Forums mobile app
Wanachoshaaa!! Utaishia tu kusoma na kupita.Sijui kwanini siwezagi kuvumilia kuona wanawake tukidhalilishwa na wanaume,, labda ipo siku nitaweza kuzikalia kimya hizo kejeli zao zote juu yetu..
Sent using Jamii Forums mobile app
Na kweli kabisaa jamani!!!MAFURUSHI.
Sawa mdogo wangu mzuri mzuri
Hizo ni stress mama.Yaani, tena mtu anadiriki kumuita mwanamke ngombe, amemzalia tundama!! Imagine mwanaume anaweza ita watoto wake tundama!
Sawa auntieHizo ni stress mama.
Yaani, tena mtu anadiriki kumuita mwanamke ngombe, amemzalia tundama!! Imagine mwanaume anaweza ita watoto wake tundama!
Mimi namshukuru tu Mshana kwa huu uzi wake yaani kwa kiasi kikubwa umenifanya niache kujichosha kubishana na mafurushi,, niko zangu huku natoa stress wala hata sitaki kuchangia sana kwenye hizo nyuzi za ndoa maana unaweza tamani ulaani mtoto wa mtu.. halafu yalivyo mabishi sasa hiiiii
Sent using Jamii Forums mobile app
Wanachoshaaa!! Utaishia tu kusoma na kupita.
Mmoja alijisemea wana stress hivyo tuwaache tu.
Haki ya nani tena wengi wana stress,, mie wengine nimebishana nao weeeee hadi tumeishia tu kuwa marafiki siku hizi tunaitana baby sijui love.. mwingine huyo ndiyo sijui kapotelea wapi nimemmiss hatari
Sent using Jamii Forums mobile app