Selfika na JF: Snap it. Show it

Seran ☝️
 
Hongera mimi nimeamua kushinda njaa kazini🥹
Weeee usishinde njaa ile totally punguza chakula mdogo mdogo..mi hapa leo asubuhi ndo nilikunywa majimoto yenye asali saii nimemaliza kunywa chai nameza hizo punje za vitunguu saumu
Na chakula pia nimepunguza nakula kidogo tu
Weeh jana nusura nizimie kwa njaa
 
Kula huwa sili sana, asubuhi nmekunywa chai ya karafuu, sausage na mayai, hapa lunch na skip mpaka jionii😎
 
Pia niliwai kusoma sehemu kua Apple/tufaa huwa ni zuri linasaidia kwa mtu ambaye anakaa njaa muda mrefu
 
Miss you more mnywanii kimya sanaa!
Am happy to see you trena mnywani fanya jambo kusindikiza chai yanguu
It's Thursday tbt za kutosha Leo hata usijali utapata za kutosha.

Siunajua chino hajawahi kukupinga
Ni huyu mtoto Seran tu ndo aninipinga namuambia usilipunguze yeye anataka alitoe kabisa! Ana lengo gani huyu
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…