Ambition plus
JF-Expert Member
- Feb 23, 2018
- 7,088
- 13,515
Mapema yote hii?Ulale salama😂
Tena nyie watu wa zamani ndio watu wa bad sana!! Kila kitu mmefanya mnawachora madogo tu.Wala mzee mwenzio mi old school😁
Sema na kina piptyda😂
Tumekesha masaa ma5 hapa, kesho uwahi😁Mapema yote hii?
Ndio kwanza nimefika mkuu
Inshallah nikipata nafasi,Tumekesha masaa ma5 hapa, kesho uwahi😁
Kesho ntakusimlia vizuri jinsi nilivyokuwa mtoto mwema! Sio mtoto mbad kabisa!Tena nyie watu wa zamani ndio watu wa bad sana!! Kila kitu mmefanya mnawachora madogo tu.
Christine_1 achana na seran utaniambia nikuchukulie ngapi
Subiri mwakani majira kama haya😁Nimepitwa loo
Doh si nmepitwa na kapicha
Unalala sana mkuu😅Doh si nmepitwa na kapicha
Ndo starehe yangu kuuUnalala sana mkuu😅
Kumbe tupo wengiNdo starehe yangu kuu
Naweza kulala kwa niaba ya taifa 🤣😂Kumbe tupo wengi
Sawa mkuuNdo starehe yangu kuu
Hahaha 😁 😆Naweza kulala kwa niaba ya taifa 🤣😂
Sipendi kulala🥹Naweza kulala kwa niaba ya taifa 🤣😂
Sema kweli? WhySipendi kulala🥹
Acha hizoooo mamchu!Asiyekuwepo na lake halipo
Hahaa
Nakuaminia mamchu hunaga mbambambaaa na sio muoga kabisa.Hahaa nitaangalia
Labda badae aneza tupia ngoja tuone.Amegoma aisee..
Labda tumvizie ile mida