bonjov
JF-Expert Member
- Mar 16, 2015
- 1,559
- 3,437
Aaah afadhali kumbe mbio za ku search ...ngoja nikutibue one day 🤣Lakini ulikuwa poaa, mimi natamani nifike hata hapo🥹 imagine leo nimekutwa na 78kgs😱 aidee niko tayari kuanza kunywa mabamia tu😓
Aaah afadhali kumbe mbio za ku search ...ngoja nikutibue one day 🤣Lakini ulikuwa poaa, mimi natamani nifike hata hapo🥹 imagine leo nimekutwa na 78kgs😱 aidee niko tayari kuanza kunywa mabamia tu😓
Bora umefika utubless na wewe sasa🤗Mnanikosha nikiona mwanamke mchuchumio kwa mguu...muna-walk with confidence ☺️
PoleNimerudi nyumbani nimenuna nikala kidogo😓
A very smart lady😍👌🏽Ndioo
Mi viatu vya chini church au kwwnye event siwezi au vile kmndala... I cant😁
Kwanza hauwi smart...
Labda ufukweni au kwenye mizunguko lkn pia npendq boots
Nimeanza leo usiku😎Pole
Jipende halafu anza kula vzr....
Na mazoezi usiache mwaliLakini ulikuwa poaa, mimi natamani nifike hata hapo🥹 imagine leo nimekutwa na 78kgs😱 aidee niko tayari kuanza kunywa mabamia tu😓
Unitibue nipungue au🤣Aaah afadhali kumbe mbio za ku search ...ngoja nikutibue one day 🤣
KumbeeeNa ndio hii ninayoijua mimi sasa😄
Ukanifanya nikuchanganye na heavensent😄
Kuna boots fulani hivii za kike zile hatari...ila sio sole za Dr Martens 😃Ndioo
Mi viatu vya chini church au kwwnye event siwezi au vile kmndala... I cant😁
Kwanza hauwi smart...
Labda ufukweni au kwenye mizunguko lkn pia npendq boots
Na kuacha bia huwezi. Panga kuacha kitu kingine.Lakini ulikuwa poaa, mimi natamani nifike hata hapo🥹 imagine leo nimekutwa na 78kgs😱 aidee niko tayari kuanza kunywa mabamia tu😓
Aisee nitaanza, sitaweza! Nimekuwa kama toto tembo! Nataka nirudi kwenye 68 yangu I was just fine🥹Na mazoezi usiache mwali
Mm nilifika 78 mwili ulikuwa mzito
Sahivi nina 72 ni zoezi tu kila siku jioni
Aaah wewee 🤣 ulishaniotea offiside banaBora umefika utubless na wewe sasa🤗
Nimeacha mbona, kula wanga ndio sisikii🙆🏽♀️Bia huwezi. Panga kuacha kitu kingine.
Kumbe nimepitwa
Natamani 65 kg sijui nitafika?Aisee nitaanza, sitaweza! Nimekuwa kama toto tembo! Nataka nirudi kwenye 68 yangu I was just fine🥹
Jamani kidogo tu😂Aaah wewee 🤣 ulishaniotea offiside bana
Mpka ufike 68 nitakutesa sana 😅Aisee nitaanza, sitaweza! Nimekuwa kama toto tembo! Nataka nirudi kwenye 68 yangu I was just fine🥹
Utafika vizuri tu, mimi nitapungua tu hata kwa supplements aisee! Sitaki huu mwili🥹Natamani 65 kg sijui nitafika?
Njoo basi unitese kidogo jamani, au nitafute mpenzi anichangamshe kidogo🤔Mpka ufike 68 nitakutesa sana 😅
Ewaaa na zile zina fupi pia wacha kabisa...na mwendo ukiwepo aaah nang'oa moyo nakupa unihifadhie 😄Hizi ndefu
| Natamani 65 kg sijui nitafika? |