Mahondaw
JF-Expert Member
- Apr 9, 2013
- 74,185
- 182,995
Ipo sana kigi. Fanya manuva utublesSelfika bado ipo?
Ipo sana kigi. Fanya manuva utublesSelfika bado ipo?
Sijambo kazi! Basi tumia jembe na sio tractorKweli mjukuu hunipendi babu yako, umri huu ninyanyue chuma si nitavunjika mifupa nikose spare 🤪
BTW, hizi kazi zetu za shamba ni mazoezi tosha
Hujambo lakini?
Hahaha..............sisi tumeshavuka umri wa kuibiwa mjukuuHamna ila babu anatakiwa kua na mkono wa kumtia kabali mgoni wake
Ndo asubuhi na mapema kabisa weeeeh!! Uko vizuriiiiBia hazina muda tii kiu yako
Hahaha..............kwa kweli, kesho nisaidie uniletee pamoja na kiko niliyokuomba 🤭Sijambo kazi! Basi tumia jembe na sio tractor
Mimi nimepunguza msosi na nafanya tumazoezi kwambaliiiiiii mazoezi ya kizeeSubiri nifanyie kazi hapo kwenye kibonge mwepesi
Kweli vijana wanafaidi, sisi mwaka 47 kwenye vitanda vyetu vya kamba hakukuwa na hizo mamboWanaita kidali! Akitegesha unalalia ila sisi wenye kg zetu dk 0 utasikia "inuka kidogo unaniumiza"
Hongera! Mimi bado nipo ipo kwanzaMimi nimepunguza msosi na nafanya tumazoezi kwambaliiiiiii mazoezi ya kizee
Relief naiona kabisa hasa kitambi mafuta mafuta na minyama uzembe
Hebu tuone ulivo kwanza kuna unene mwingine ni mzuri hauhitaji kupungua😄😄😊Hongera! Mimi bado nipo ipo kwanza
Watu wote muhimu wapo?Ipo sana kigi. Fanya manuva utubles
Si ndiyoo… tujue kwanza kanenepa wapiHebu tuone ulivo kwanza kuna unene mwingine ni mzuri hauhitaji kupungua😄😄😊
😂😂😂😂 kule chai sana, mtu anaanza tu tyr mwenzake ashaloaHaipo , hapa ni uzi wa kula matunda kimasihara
Hawapo kwakweli...!!! Wengi ni wapyaaa kama si wapya ni walewale kivingine!!Watu wote muhimu wapo?
Kabiiiiiiiiiiiiiiisa Kigi!! Long time ujue do the needful kukumbushia enzi!Si ndiyoo… tujue kwanza kanenepa wapi
Nami nililega kdg hapa kati, hata hujanicheck kule ujue nipo hai?Hawapo kwakweli...!!! Wengi ni wapyaaa kama si wapya ni walewale kivingine!!
Si kama kile kipindi
Kipindi cha amani umoja na upendo
Kipindi cha furaha na utulivu
So many things have changed!
Bora hukuwepo kwani kulikua na fujofujo na vurugu tu!Nami nililega kdg hapa kati, hata hujanicheck kule ujue nipo hai?
Huwezi Pigwa jua mahi😅Dahhh!! Ntapigwaje na jua kutwa nzima mimii!!
Unanitega...
