Dah nilikua nakula vi Heinken, kila siku, nikaona kama kakitambi kanakuja nikashtuka snašNa umbo la chura basi tafrani tupušš½āāļø
Hamna bana kasema ukweli..Haha min anakuponza huyu!
Kuwa makini tu-vitambi twa bia tubaya mnošDah nilikua nakula vi Heinken, kila siku, nikaona kama kakitambi kanakuja nikashtuka snaš
Hahaha napiga rola kwa wivu mkubwa mnošKuwa makini tu vitambi twa bia tubaya mnoš
Kuhama sihami ila nitafanya jambošMimi ukiniona utataka uhame kwenu uje kwangu š
Ahahaha jambo lipi tingKuhama sihami ila nitafanya jamboš
Nibless kwanza utaonaAhahaha jambo lipi ting
Seran kama seranNibless kwanza utaona
Ni sekunde tatu tuNibless kwanza utaona
Achia baraka ba mnyogodeSeran kama seran
Nasubirišš½Ni sekunde tatu tu
Ma mtu , utauliza babu mdomo upo wapi, ngoja nikapunguze ndevu kwanzašAchia baraka ba mnyogode
Acha hivyohivyo tušMa mtu , utauliza babu mdomo upo wapi, ngoja nikapunguze ndevu kwanzaš
Watoto wameanza niita babu osama šAcha hivyohivyo tuš
em nimekaa kimtindo em nibless chapAiseww hizo lipsš«¦
Nakusanya mabegi yangu jioni nipo hapoš