Selfika na JF: Snap it. Show it

Selfika na JF: Snap it. Show it

Kuna nini? [emoji23][emoji23][emoji23]
Masai dada alikuwa anamponda dr Mari kuhusu kublendiana..!!
Sasa imejulikana naye Masai dada ni mdau lakini baadaye akaamua kuzuga kwa kumuomba msamaha baby wake ambaye Miongozo 😹😹😹

Sasa dr anasema kwanini anajinafkia mpaka yeye mwenyewe Masai?
 
IMG_20260806_165737.jpg
 
Masai dada alikuwa anamponda dr Mari kuhusu kublendiana..!!
Sasa imejulikana naye Masai dada ni mdau lakini baadaye akaamua kuzuga kwa kumuomba msamaha baby wake ambaye Miongozo [emoji81][emoji81][emoji81]

Sasa dr anasema kwanini anajinafkia mpaka yeye mwenyewe Masai?
Uduguu sasa kwanini hukunitag jamaniii? Nimeumia mno kupitwa na hilo varangati Aloo.
[emoji23][emoji23][emoji23]
 
Lamomy
Uduguu, kumbe ndo varangati lilikua lile? Mbona sio jipya, afu nilipewa wakati niko nje ya JF,

Ila JF jamani, Mr Mio ana dunia yake wanawake kutwa kujigonga kwake, au hizo faranga anazogawa mahi? Afu unaambiwa ana coward wake humu wa kumpasia upendo na cross. [emoji23][emoji23][emoji23]

Mabwakuuu. Lol [emoji23][emoji23][emoji23]
 
Lamomy
Uduguu, kumbe ndo varangati lilikua lile? Mbona sio jipya, afu nilipewa wakati niko nje ya JF,

Ila JF jamani, Mr Mio ana dunia yake wanawake kutwa kujigonga kwake, au hizo faranga anazogawa mahi? Afu unaambiwa ana coward wake humu wa kumpasia upendo na cross. [emoji23][emoji23][emoji23]

Mabwakuuu. Lol [emoji23][emoji23][emoji23]
Kumeanza kuchangamka.
 
Back
Top Bottom