Selikavu
JF-Expert Member
- Jul 14, 2017
- 15,046
- 33,723
Kabla hujalala nataka nijilete uniweke mbele za Bwana mtumishi kesho kivumbi day😃😃Nataka km hizi
Mi uvaaji wangu ni wa kufunika mwili
Siachi mwili wazi zaidi ya kichwa na mikono😀😀😀
Halaf watu wanasema unapaka nn kumbe siri ni kufunika mwili