Selfika na JF: Snap it. Show it

Selfika na JF: Snap it. Show it

Nimelia sana 😃
Thibisha kama umelia vinginevyo ni chai
Kuchungulia ni msamiati mkali kwangu maana me sijfichi huwa nashinda hapa napiga story mbili tatu muda uende
Leo ulikua una vizia uchungulie ila ndioo hivyo😁😁
Pia huwa naweka nikipiga labda hujawai nibahatisha pia😃
Weka leo nione pulizzzz
Who am i..🤔 kijana tuu nipo kwenye early 20s zangu najiandaa na Ue kesho inaanza mkuu😃😃😃
Upo kwenye early 20s join 2017😎
 
Thibisha kama umelia vinginevyo ni chai
😃Kwamba nitume machozi ama nathibitashe mguu??
Leo ulikua una vizia uchungulie ila ndioo hivyo😁😁
Kuvizia nisingejileta hapa kusalimiana na wakuu me nimekuja lengo nijue ndugu zangu katika Bwana wa ukanda huu wanaendeleaje...😃 kwahiyo me sio mviziaji mkuu tutumie mpita njia labda
Weka leo nione pulizzzz
😃😃Sawaaa ngoja niende Adobe kwanza😀
Upo kwenye early 20s join 2017😎
Mkuu kwel chalii tuu mimi
 
Asante na kwako pia ulale salama

Kuna zile za kuishia nusu ya mguu hazina kisigino ukivaa na Skirt au gauni zinapendezea mno
Nataka km hizi
Mi uvaaji wangu ni wa kufunika mwili
Siachi mwili wazi zaidi ya kichwa na mikono😀😀😀
Halaf watu wanasema unapaka nn kumbe siri ni kufunika mwili
 

Attachments

  • Screenshot_20260623_172717_Pinterest.jpg
    Screenshot_20260623_172717_Pinterest.jpg
    151.4 KB · Views: 3
😃Kwamba nitume machozi ama nathibitashe mguu??
Piga picha jicho likidondosha chozi
Kuvizia nisingejileta hapa kusalimiana na wakuu me nimekuja lengo nijue ndugu zangu katika Bwana wa ukanda huu wanaendeleaje...😃 kwahiyo me sio mviziaji mkuu tutumie mpita njia labda
Sawa mpita njia 🤣
😃😃Sawaaa ngoja niende Adobe kwanza😀
Na weitiiiii
Mkuu kwel chalii tuu mimi
Yankiii🔥🔥🤣
 
Back
Top Bottom