Kihonda sasa hivi ni kama imekuwa uswazi...niliishi hapo kidogo mwaka 93..wakati huo paliitwa nje ya mji...(ni kama hapo Mbeya uwe waishi Inyala au Songwe hivi)
Mi naona sasa watu wamejenga kila pahali, by then ilikuwa nyumba zipo mbali mbali kwenda kwa jirani unajishauri maana ni km 50m au zaidi apart...(hiyo ni enzi ya Mwinyi though)
Mi naona sasa watu wamejenga kila pahali, by then ilikuwa nyumba zipo mbali mbali kwenda kwa jirani unajishauri maana ni km 50m au zaidi apart...(hiyo ni enzi ya Mwinyi though)
Kihonda sasa hivi ni kama imekuwa uswazi...niliishi hapo kidogo mwaka 93..wakati huo paliitwa nje ya mji...(ni kama hapo Mbeya uwe waishi Inyala au Songwe hivi)