Selfika na JF: Snap it. Show it

Selfika na JF: Snap it. Show it

Kuzaa tena? 😹😹
Yule mkaka mkorofi anaonekana, halafu muhaya na mkinga lazima tungeshindwana..!!
😁😁 kuzaa na mwana Jf ndio fantasy yangu kubwa imebakii sijui nani atajichanganyaaaaa 🤣🤣🤣.. mngezaa tu sasa hii katoto kangekuwa katambaaa
 
😁😁 kuna siku unashika simu yake, malaaa paaap linaomba lije PM yakee.. au ndio unakuta ndio anaetumia ID ya mzabazab mwanawaneee
😹😹😹 Mzabmzab akiwa ndio koloni langu mbona naweza kulia kwa mambo yake ya humu..!!

Aliwahi kushika dogo mmoja simu yangu akakuta niliingia JF na siku log off akaniuliza tu kuhusu JF nikapotezea..!! Sema kadogo hakaelewi kitu japo ni mkali wa IT 😹
 
😁😁 kuzaa na mwana Jf ndio fantasy yangu kubwa imebakii sijui nani atajichanganyaaaaa 🤣🤣🤣.. mngezaa tu sasa hii katoto kangekuwa katambaaa
Uzae na mwana JF 😹😹
Dah! Hiyo fantasy yako kiboko..!!
Mi natamani kumuona member mmoja live ila naogopa..!!
 
😹😹😹 Mzabmzab akiwa ndio koloni langu mbona naweza kulia kwa mambo yake ya humu..!!

Aliwahi kushika dogo mmoja simu yangu akakuta niliingia JF na siku log off akaniuliza tu kuhusu JF nikapotezea..!! Sema kadogo hakaelewi kitu japo ni mkali wa IT 😹
😁 ndio atakubembeleza mwanawaneeeee

wengine ID zetu za JF kama bangeee, yani ikatokea mtu akajua id flanii ni ya nani unaweza tamani ardhi ipasuke na usirudi tenaaa..
 
😁 ndio atakubembeleza mwanawaneeeee

wengine ID zetu za JF kama bangeee, yani ikatokea mtu akajua id flanii ni ya nani unaweza tamani ardhi ipasuke na usirudi tenaaa..
Kuna waziri mmoja humu ana id ya kipuuzi kabisa na tuliwahi kutukanana..!! 😹😹

Sasa siku moja……. Au basi 😹😹
 
Uzae na mwana JF 😹😹
Dah! Hiyo fantasy yako kiboko..!!
Mi natamani kumuona member mmoja live ila naogopa..!!
😁 hii fantasy yangu niaipambania sanaaa kitoto nikiite hata jila member mwenye matata yakee humuu... iwe ukumbusho

Uoga weka pembeni una mvuta tu hata awezi gomaa watu walivyo na shauku ya kuonana humuu
 
Back
Top Bottom