Selfika na JF: Snap it. Show it

Selfika na JF: Snap it. Show it

kuna watu wataamini unakoka kuni kweli,, mtu unakaa mtaa wa kitajiri hivi hata mkaa mnaujua kweli 🤔😩😁😁
Wewe binti nipo vijijini mimi endelea kunipamba, hapa nasubiri makande ya jioni yaive!

Haya bisha😎
 
Dahh sijapenda! Yani pumzi yake nipo hapa na humtaji🥹

nimtaje mwishoe ajikwae adondoke ili tusipelekwe ngorongoro 77 we kuweza😅😅
Nilikuwa nazichokonoa yani nikazikate tu sitaweza hizi mambo😒

jikaze usizikate,, itakua unakichwa chepesi kama changu, tafuta ile sulphur jell wanasema inasaidia na kila wiki uwe unaosha
 
Wewe binti nipo vijijini mimi endelea kunipamba, hapa nasubiri makande ya jioni yaive!

Haya bisha😎
ila wakishua hamna cha kupoteza kabisa,, sufuria ya laki 2 hamuoni shida kuweka kwenye kuni😢😢,, ngoja niendelee kutafuta pesa tu 🤣🤣
 
ila wakishua hamna cha kupoteza kabisa,, sufuria ya laki 2 hamuoni shida kuweka kwenye kuni😢😢,, ngoja niendelee kutafuta pesa tu 🤣🤣
Jamani kwani ukiyaweka kwenye kuni yanakuwaje🤣 mbona yanapika kama kawaida tu
 
Jamani kwani ukiyaweka kwenye kuni yanakuwaje🤣 mbona yanapika kama kawaida tu
mmh tuliletewa zawadi na dada etu wa mjini ni mwaka wa pili mama ameyatunza uvunguni mwa kitanda chake😅😅😅 hataki yaharibike
 
Hapo umeniquote vibaya unamuongelea yule ndumila kuwili?
BE1BB423-AC18-47D8-AB02-5C061A5CB37B.jpeg
 
mmh tuliletewa zawadi na dada etu wa mjini ni mwaka wa pili mama ameyatunza uvunguni mwa kitanda chake😅😅😅 hataki yaharibike
Hiyo tabia ya bibi yangu kuweka masufuria uvunguni mwake wakati kabati analo🤣

Haya bora, kuna yale ya 350k mazito! Nilimkuta tafkiangu katenga kwenye kuni nikachoka😓
 
Hiyo tabia ya bibi yangu kuweka masufuria uvunguni mwake wakati kabati analo🤣

Haya bora, kuna yale ya 350k mazito! Nilimkuta tafkiangu katenga kwenye kuni nikachoka😓
weee huyo rafiki ako anajua matumizi ya pesa sasa😅😅😅 anataka viharibike ili vinunuliwe vingine
 
unamuangalia unashindwa kummaliza😅😅😅 unatamani umuokotee hata mawe
Yani sijui wakoje hawa watu wanaatupa vitu eti!wakati kuna wenzao hapa hatuna. Mmoja hapa namsikia anasema anataka kukitupa kitanda chake duh! Nimemwambia kigawe kuliko kukitupa duh!
 
Yani sijui wakoje hawa watu wanaatupa vitu eti!wakati kuna wenzao hapa hatuna. Mmoja hapa namsikia anasema anataka kukitupa kitanda chake duh! Nimemwambia kigawe kuliko kukitupa duh!
mbona atupe kitanda kimefanya nini si bora akaki topup tu,, huyo tumchumie fimbo hamna namna
 
Back
Top Bottom