Daah weekend hii nimepoa sana kuna mtu nimemkorofisha jana usiku kanisachi kakuta zana zimebaki 2, nnaamka asubhi simuoni kabeba funguo za gari, wallet, card za bank, vitambulisho, fedha za dharura na mtoto katokomea kwao ukisikia kizaa zaa ndio hiki π₯
Embu nishaurini wadau
View attachment 1291584