Selfika na JF: Snap it. Show it

Selfika na JF: Snap it. Show it

Maka unakula mpaka mashangazi 😹😹

Hadi za kimakonde umepita nazo? 😹

Nnode ndo nini? 😹😹😹😹
Mtafute mmakonde akutafsirie.. 🤣😂
Mie aliniambia nnoda ni mdudu fulani hivi ana kasi balaa.. ile kasi ilikuwa kubwa sana kwake, akajikuta anaropoka..
Kama nnoda, kama nnoda.. 😂🤣🤣🤣
Sasa vile anatamka hiyo "kama nnoda" mie hoi kwa vicheko

Mishangazi ndio yenyewe, asikwambie mtu, sasa mimi nikatembee na under 20, si hata FIFA itanifungia😂
 
igweeeeeeeeee.... 🤣😂

Kuna safari moja niliwahi kwenda mtwara nikapata lidada la 40+ hivi..
Katikati ya majambozi likatoa kilio na kuanza kusema maneno, sijui mnoda, sijui n'noda ila wamakonde wenyewe wanajua.

Alikuwa analia..
"Kama nnoda we, tamu, tamu, tamu bwana we, ni kunoga, kunoga, kumbe nnoda, kumbe nnoda, ai tamu bwana wee" 😋😋😋
Just imagine kwa lafudhi ya kimakonde 🤣😂,
alikuwa anauulilia UB40 kimakonde, kuna maneno sikuweza yashika, ni balaa, lilikuwa liko fito, miuno ya unyagoni ndio mahala pake, tako sasa limejaa steak halfu ni fillet, tako laini kinyaaama, ana lombana huyo.. ila mwishowe alitoa saluti.

Baada ya game alisema kwa lafudhi ya kwao
"Umri wangu huu, sijawahi patana na mtu kama wewe, nimekuzidi umri tu, mengine yooye, we kunizidi.. ptuu, kijana una hatari wewe, ningekupata ujanani mwangu ungefaidi saizi nazeeka, kiuno kigumu, nachoka mapema"

Huyo anaesema kiuno kigumu anamwaga miuno laini, utafikiri kawekewa mafuta ya cherehani...

Ndio mwanamke pekee niliwahi kumuongezea nauli aliponiambia kanimisi kapungukiwa nauli ya kuja dar.
🤣🤣🤣 mambo nayopenda kusikia
 
Back
Top Bottom