Selfika na JF: Snap it. Show it

Selfika na JF: Snap it. Show it

😂😂😂😂
Mie X, nilikua naparuana na Broohz angu niliemfuata,
Yeye anatumia real I'd, mie natumia fekeroo.

Kuna App nikakutana na Sir wangu wa Advance, nilichokaa, sikutegemea na yeye awepo kulee.
😂😂😂 mambo ya Fekero haya, oooh.
Mi namalizia hasira kwa mtu ninayemfahamu lazima nimchane afu nazama deep mpk anashtuka..!! 😹😹

Nishamzingua sana sis na hajui km mimi
 
Kuna App huko naliza watu vibayaa, jamanii mie utapeli ntaacha kwelii??
😂😂😂😂.
Niombee uduguu, sijioni nikiwezaa kuacha kupiga wapuuzi.
😹😹😹 Udugu mjinga sana!!
Unajipigia wajinga wako, ndiomana gwapole analalamika.!!
 
Back
Top Bottom