Selfika na JF: Snap it. Show it

πŸ€£πŸ˜‚πŸ˜‚

Huyu anataka aliwe nawe huna meno, mpasie kijana wangu intelligent businesman aipige
 
Hiyo migebuka πŸ˜‹
Maka mwambie bi mkubwa nakuja kula..!!
Karibu sana, nipo kwa waha huku, naila migebuka..
Shida sijaona wauza madafu, wakopeshaji ma wauza maji...
Wale wa dar wametokea wapi πŸ˜‚πŸ€£
 
Sure, unakuta unakijikazi cha dakika 5, ukienda ukirudi unaambulia unyoya, na ukisubiri hata dk 20 hamna kitu wanaweka.
Hadi raha
Alaf hapo mtu bado usoni kaweka emoj kubwa kama tumbo la Kobisi. Alaf sekunde 2 tu anafuta.

Daah! Ni masikitiko 😊😊😊😊😊
mnataka za naked wanetu? πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚
 
shem una nini lakini πŸ˜…

kwahiyo win-one kapita sipo eeh! naomba urudie aisee..
 
Eeh mnataka muanzishe ishu ya vidoti😁
 
shem una nini lakini πŸ˜…

kwahiyo win-one kapita sipo eeh! naomba urudie aisee..

Ila Nikisema nakutumia whatsapp.
sijui ataamini kuwa picha yake nimedownload au namba yako ninayo?.

Ila kimoja hapo cha uwongo. Ataamua yeye achague uwongo upi. 😊😊😊😊😊
 
Ila Nikisema nakutumia whatsapp.
sijui ataamini kuwa picha yake nimedownload au namba yako ninayo?.

Ila kimoja hapo cha uwongo. Ataamua yeye achague uwongo upi. 😊😊😊😊😊
Hapa ni fake zone fanya kuniletea receipt tu mimi ntaamua upi ni ukweli..
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…