Anajizima data πΉWachaa wee, wee si umesema tuweke Giza kwa picha kuficha Details.
Kama wewe plzHumu picha zangu nimeweka sana mwaka juzi, wote wananijua sina tako nimepigwa pasi, juu mnene chini mwembamba.
Kwanini unatupa mafumbo kuna shida gani?
Nipo karibu sana ulipo lamamaYeaaahh π»
Ulipotelea wapi wewe?
Kitambo pande hizi J
Ficha location tu. Mengi unajiachia tu mremboπWachaa wee, wee si umesema tuweke Giza kwa picha kuficha Details.
Hakunaaaa ushindweeTumuache hiyo kwiyoo πΉπΉ
Usikute akawa shem shem
Njia za Mungu hazichunguziki..!! πΉ
Huyo mtoto ni mkaree ana rangi ya mtume inawaka mpk kwenye wallet yako..!!Kumbe huyu bi dada yupo hot. Ngoja nisubirie tabasamu lake atakalo nionyesha hapo baadae kidogoπ€
Wapi huko?Nipo karibu sana ulipo lamama
Huwezi kupinga namna hii πΉHakunaaaa ushindwee
Sitaamini mpaka pale nitakapo muona . Ngoja nisubirie atumeπ€Huyo mtoto ni mkaree ana rangi ya mtume inawaka mpk kwenye wallet yako..!!
Ukiwa naye pesa huhitaji kuumiza kichwa.
Huyo mtoto Engineer anasanifu majengo mpk maisha yako oohh..!!
Niache niko na buni biashara ya kufanyaπHuwezi kupinga namna hii πΉ
Locs unafichaje sasa hapo? πππFicha location tu. Mengi unajiachia tu mremboπ
Selfika basi tuendelee na mambo mengineSitaamini mpaka pale nitakapo muona . Ngoja nisubirie atumeπ€
πππ huogopiii?Mashallah Mashallah π₯°
Jamani wakaka wazuri wote waje kwangu maana ufalme wa Lamomy ni wao πΉπΉ
Weka gentleman π₯π₯
Una mtaji wa shingapi?Niache niko na buni biashara ya kufanyaπ
Unachotwaa, ogopa matapeliiii, πππKumbe huyu bi dada yupo hot. Ngoja nisubirie tabasamu lake atakalo nionyesha hapo baadae kidogoπ€
Kuna liteni linazagaa zagaa hapa aiseeUna mtaji wa shingapi?
Mimi nataka kufungua kituo cha polisi πΉ
Mbona mie sijawahi kukuonaa hataaa?Mimi nilishapita ka majuzi hivi. Na nimeahidi kupita Tena safari hii ni liveπ€. Wewe sikuwahi hata kukuona. Tuma Leo kwa ajili yangu ukiwa live...
Yaani, πππAnajizima data πΉ
πΉπΉπΉ Mimi nawasifia naambiwa nawataka nacheka sana..!!πππ huogopiii?
πππ najua kusanifu Urungu tuu, hata Ngariba hanikutiii.Huyo mtoto ni mkaree ana rangi ya mtume inawaka mpk kwenye wallet yako..!!
Ukiwa naye pesa huhitaji kuumiza kichwa.
Huyo mtoto Engineer anasanifu majengo mpk maisha yako oohh..!!