Utajiri wangu upo kwenye mashine yangu πNikajua humu wote matajiri buana, eboπ€
Heee sijasoma vyote, maana nimeona kuna kei za kiume zinachangia usenge usenge tu nikahis kichefuchefu! nna hangover yangu hapa inaniendesha sio poa! Kwamba tuna group la kazi na hujui? Kwanini sasaπ€£Utajiri wangu upo kwenye mashine yangu π
Ila mfukoni n hoe hae
Afu Kwann uniunge kwenye group la kazi afu bado cjapata kazi? Sasa umuhimu wa kuwa na group n upi sasa?
C unaona mpaka nasemwa na umma π
Nanyanyaswa kisa ww πHeee sijasoma vyote, maana nimeona kuna kei za kiume zinachangia usenge usenge tu nikahis kichefuchefu! nna hangover yangu hapa inaniendesha sio poa! Kwamba tuna group la kazi na hujui? Kwanini sasaπ€£
Mti mwenye matunda baba, jiulize mbona wengine hawaguswi! Kazi ni kipimo cha utuπ€£Nanyanyaswa kisa ww π
Asalamaleko πnimeona kuna kei za kiume zinachangia usenge usenge tu
Acha waendelee kuforce mazingira mzee, hali ni tete huku nje, soko ni gumu mnoo!π₯΅Asalamaleko π
Ila Lamomy kuacha kusema nilikuwa namtaka h imeniuma sana, mana ameongea mengi ila hilo la umuhimu ameliacha πAcha waendelee kuforce mazingira mzee, hali ni tete huku nje, soko ni gumu mnoo!π₯΅
πππAcha tu yaani ni kasheshe lecture anafundisha wa kausha damu wanakutumis sms ya vitisho πMi nilijaribu kurudi hata semester sikumaliza nikarudi kuwinga ada ikaenda bure πΉπΉ
Ikatokea short course Miezi 6 kuhusu biashara nikalipia hata sikwenda nikapata majanga kijana wangu wa dukani kamtia mimba binti wa watu mwanafunzi..!!
Nikaona hizi elimu za uzeeni niachane nazo..! πΉ
MnoShesrise kila akikusanua huelewi una kichwa kizito πΉπΉ
Hebu tuwaachie wenyeji wenye uzi wenu, mnajuana kwa vilemba.πKuna nini tena humuπ π
Rudi shemπHebu tuwaachie wenyeji wenye uzi wenu, mnajuana kwa vilemba.π
Iβm out
Akhaaπ π jana sijui kwanini kwanini nililalaSimba kapata mimba, maji mji mzima
Wewe koma nilikuanzishia wapi?π Dah ety dada power mabula.
Sasa mkisema Sio picha zangu, mm hapo naumia kwa lipi?
Afu hy kusema picha hazikuwa zangu n ww ndo ulianzisha Afu hapa unasema cjui n dada gn huko π
Naona unanilisha maneno kusema nilikuwa nakusema ww khs hiyo AI, yan hata sikuwa nakuwaza kwa lolote mana Hua sina kawaida ya kuingia sana humu na hy siku nmeingia humu nkakutana na picha nikasema em niigoogle h picha Ndo nikakutana na insta yake na wale haukuwa ww. Sasa hapo kusema nakusemea ww cjui imekuja vp.
Tulia baby, Acha presha β€οΈ
Pole yako wewe chaji ya Kobe πPole na bado hujasema π
Astghafirullah lazimuuuuuWewe koma nilikuanzishia wapi?
Baada ya kupost selfika pic lako si ndo ukaja pm kuniambia power mabula malayaa anajifanya anakujua kumbe Hakujui na akileta ungese unamchana nikakujibu nini??
Ukanipa na screenshot hizo.
Nikakwambia achana nao wapuuzi tu hao.
Kwahiyo wewe ulitaka tuselfike km power mabula anaweka kidoti cha wanja aonekane pisi kali πΉπΉπΉ
Mtu ambaye hata kuvaa changamoto watu tukiselfika full haamini anahisi sio sisi kwani anaishi na vitu gani huko??
Wewe na yeye wote mkome hivyo ndo nilivyo mumlaumu mama yangu kwa kunizaa.. πΉπΉπΉ
Nikutag km nani si umesoma sababu hayo ndio mambo yako uyapendayo..!! πΉπΉπΉAfu ukiniandika jina hakikisha umenitag nione kwa urahisi, sio tena nipate shida kufuatilia story ilipoanzia
MI naogopaa mahiOnhooo kumekucha kumekucha ππ