Ambition plus
JF-Expert Member
- Feb 23, 2018
- 7,014
- 13,351
nimeshindwa kuunga dot wakati wote.Labella ndo mimi, na hizo shengesha zote zimeanzia juzi. Ila jana sasa ndio presha zikawapanda ndio km hivi..!!
Jogoo huyo kwiyooo πΉπΉπΉ
Kesho mambo yatabadilika humuπππ haufungwiiii, niamini mie.
Na ndimu kabisaa, km sio chachanduu.πππUtasema nimekunywa supu ya pilipili
Na kitawaka kesho humu, watu wako huko kuandaa Kombora.Kesho mambo yatabadilika humu
We nawe Ntakuchapa πΉπΉNYC bwoii, punguza mahaba kwa Uduguu, Waja wanajua trip ya kwa maandishi 3 ni kugusa tuu,
Kumbe wala hata, πππ
Mjomba ako kaninunia kalipa ada juz juz alaf mtihani nimepata 5 sasa km akili hazitaki mm nifanyaje jamani anasema anaonea huruma wanaeπππππNa ndimu kabisaa, km sio chachanduu.
πππ
Basi wana kazi nzito km ni hivyo πΉπΉπππ umechelewa kumsoma labda, yuko hivyo siku zote.
Ndio maana siku naona picha yake nilimchana, hufanani na mambo yako, aka react, ya humu ni ya humu, nilimuelewa pia.
πππ uduguuu, em lala kwanii.We nawe Ntakuchapa πΉπΉ
Hapo huyo Ambition sijamfungulia pm sa ningefungua ingekuwaje? πΉπΉπΉ
Kwa Kantry nimepigwa mawe mpk wengine wanamtag kwenye nyuzi wajitongozeshe na uzuri wa mweusi akili 2 akawachana βNitamtooo mpaka akomeβ wakaona aibu mi nikapita nacheka zangu..!! πΉπΉπΉ
Nyie wapuuzi mniletee vizee vyenu basi niwe mama yenu mdogo, ili nyie muwabebe hawa wanaume ninaotaniana nao..!!
ππππBasi wana kazi nzito km ni hivyo πΉπΉ
πΉπΉπΉππππ mbona kwiooo.
πππ nimechekaa shangazii. Unasoma nini na uzee wote huo?Mjomba ako kaninunia kalipa ada juz juz alaf mtihani nimepata 5 sasa km akili hazitaki mm nifanyaje jamani anasema anaonea huruma wanaeπππππ
Tutamshtaki EU JF haifungwi ni Hawa walimu wa TAMISEMI wana midomo..!! πΉπΉπΉMax akifunga naenda hadi kwake, πππ
Wee acha auntπππ nimechekaa shangazii. Unasoma nini na uzee wote huo?
Hili mbona hadi kaka Max analijua nilifungua kuombea nitolewe ban..!! πΉπΉwew ulikataagi likopi lako.
πππ wee nae hata kufungua dot hukuwezaa? Mbona hajifichi uduguu.
πΉπΉπΉ Hayo majina wanakosa wachawi kweli?Ila kigamboni kunae sehemu huko Tungi. πππ
Nyiee aloooh.
ππππ Poleee shangaziii, WoiiiihWee acha aunt
Mambo ya kulazimishana kusoma na uzee nimepata hesabu 5 aunt nasikilizia masimango tu hapa ππ
Shesrise kila akikusanua huelewi una kichwa kizito πΉπΉnimeshindwa kuunga dot wakati wote.
Nimekuvulia kofia
Kigamboni kuna Waganga na Wachawii tuu.πΉπΉπΉ Hayo majina wanakosa wachawi kweli?