Selfika na JF: Snap it. Show it

Selfika na JF: Snap it. Show it

No huo wimbo siujui,, now playing "kama nikifa kesho" by diamond platnumz..

Haha mie mgumu kaka,, hayo masihara yaishie huko huko kwa rikiboy..
Kama wewe ni muhenga nadhani unaukumbuka wimbo wa Wyre, " ni chuki tu mimi nahisi." Sema huwa tunakubali hizo conditions halafu baade tunapeleka mrejesho kwenye ule uzi wa Riki Boy.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Inshaallah nitaweza,, mwenyewe mwanzo sikuwa nauelewa huu wimbo ila kuna mtu humu kanifanya niuelewe ghafla.. sema nimependa zaidi kile kimdundo chake kama cha reggae

Sent using Jamii Forums mobile app
Nitaurudia...now watching videos from Likee ' karibu, kuna dogo kaimba Helo ya Beyonce aisee...ngoja kesho utaiona status
 
No huo wimbo siujui,, now playing "kama nikifa kesho" by diamond platnumz..

Haha mie mgumu kaka,, hayo masihara yaishie huko huko kwa rikiboy..

Sent using Jamii Forums mobile app

Mbona kaka tena, hizi sio dalili nzuri, niite hata mkuu. Kama haujui basi wewe wa juzi juzi. Utafute usikie Wyre alivyokuwa analalamika, sijui hata walimfanya nini.
 
No kitoko sipigi aise,, mie mwenyewe ni mpenzi wa wine kuliko beer au whisky au spirit na huwa sipendi kunywa sana hadi kulewa kwanza ini langu bado nalipenda ati..
Hawajakosea.... We si ajabu hata kitoko unagonga and the like, me bia ninayoiweza ni Heinkein tu

I'm highly addicted with

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Back
Top Bottom