Selfika na JF: Snap it. Show it

Selfika na JF: Snap it. Show it

Yaani na hizi mvua mixer hili baridi acha kabisa,, natamani ningekuwa na uwezo wa kulala masaa mengi ila ndiyo najikuta siwezi.. nahisi nitaanza kuwehuka soon

Karibu tusikilize muziki,, now playing Naogopa by Rayvanny.. nasinzia

Sent using Jamii Forums mobile app

Mbona unamkaribisha Depal tu. Huo ni matumizi mabaya ya rasilimali hayo.
 
Yaani na hizi mvua mixer hili baridi acha kabisa,, natamani ningekuwa na uwezo wa kulala masaa mengi ila ndiyo najikuta siwezi.. nahisi nitaanza kuwehuka soon

Karibu tusikilize muziki,, now playing Naogopa by Rayvanny.. nasinzia

Sent using Jamii Forums mobile app
Jitahidi utaweza tu.... Afu huwezi amini hiyo nyimbo sijaielewa maybe sabb sikupay attention na nilisikiliza Mara moja sijairudia tenaa
 
[emoji2][emoji2] rasilimali zipi mzee baba?? Kama una uwezo wa kukaa na mimi 'bila kufanya chochote' hadi kunakucha basi nawe karibu tusikilize muziki!! (Dunia itabadili mzunguko wake)
Mbona unamkaribisha Depal tu. Huo ni matumizi mabaya ya rasilimali hayo.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
[emoji2][emoji2] rasilimali zipi mzee baba?? Kama una uwezo wa kukaa na mimi 'bila kufanya chochote' hadi kunakucha basi nawe karibu tusikilize muziki!! (Dunia itabadili mzunguko wake)

Sent using Jamii Forums mobile app

Kama wewe ni muhenga nadhani unaukumbuka wimbo wa Wyre, " ni chuki tu mimi nahisi."
 
Inshaallah nitaweza,, mwenyewe mwanzo sikuwa nauelewa huu wimbo ila kuna mtu humu kanifanya niuelewe ghafla.. sema nimependa zaidi kile kimdundo chake kama cha reggae
Jitahidi utaweza tu.... Afu huwezi amini hiyo nyimbo sijaielewa maybe sabb sikupay attention na nilisikiliza Mara moja sijairudia tenaa

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Back
Top Bottom