Seran
JF-Expert Member
- Feb 7, 2025
- 28,627
- 83,253
Shenz kabisa, umeona wachawi tukilala ndio upite si ndiošwachawi wote wamelala
Shenz kabisa, umeona wachawi tukilala ndio upite si ndiošwachawi wote wamelala
Oyaa we kibibi mimi ndio nimekukomalia upite halafu unapita mida ambayo nimepumzika si ndio?šbyee kibabu šš
Jana nimepitwa rudia basiOyaa we kibibi mimi ndio nimekukomalia upite halafu unapota mida ambayo nimepumzika si ndio?š
Wewe kila nikikuvizia hata ukucha sionišJana nimepitwa rudia basi
Tupia na mimi nitupie basišWewe kila nikikuvizia hata ukucha sioniš
Bado upo au unakabembeleza ka juniya?šTupia na mimi nitupie basiš
NipoBado upo au unakabembeleza ka juniya?š
Aandaa mzigo nikiweka unaweka, haya shwaaaš¤£@Castle_Lite shemeji shuhudia huku unaanda yakošNipo
We siulisema una miaka 30's?Aandaa mzigo nikiweka unaweka, haya shwaaaš¤£View attachment 3602064@Castle_Lite shemeji shuhudia huku unaanda yakoš
Ndio mamaake nimegoma kuzeekaāŗļøWe siulisema una miaka 30's?
Dah! Watoto wa 2000 tunaonekana mishangazi, mishangazi mnaonekana watoto wa 2000Ndio mamaake nimegoma kuzeekaāŗļø
Mtakoma, yani kizazi chenu si mchezo mimi mdogo wangu anayenifuata kila mtu anajua ni kaka yangu kumbe namzidi miaka mitanoš hebu ona midevuš¤£Dah! Watoto wa 2000 tunaonekana mishangazi, mishangazi mnaonekana watoto wa 2000
Mbona huyu kama mdogo wangu! Yaani wa kiume ila mweupeee dada yake hapa mweusi watu huwa wananiudhi wanasema ilitakiwa mimi niwe na rangi yake na yeye achukue yanguMtakoma, yani kizazi chenu si mchezo mimi mdogo wangu anayenifuata kila mtu anajua ni kaka yangu kumbe namzidi miaka mitanoš hebu ona midevuš¤£View attachment 3602069
Yani mimi wadogo zangu wote hakuna mweusi dada yao sasa, na ni wazuri kushinda dada yao etišMbona huyu kama mdogo wangu! Yaani wa kiume ila mweupeee dada yake hapa mweusi watu huwa wananiudhi wanasema ilitakiwa mimi niwe na rangi yake na yeye achukue yangu
Selfika kwa kujaza watu vichwa shikamooniš
Vichwa gani mamaake hizo lips uwii, mimi nikajuaga humu hakunaga warembo kasoro mwafulani tu, nimesapraiziwa hizi siku mbili acha kabisaš¤£š¤øš½āāļøSelfika kwa kujaza watu vichwa shikamooniš
Mwenyewe wanasemaga mdogo wangu mzuri kunizidi wananiudhiiYani mimi wadogo zangu wote hakuna mweusi dada yao sasa, na ni wazuri kushinda dada yao etiš
Rangi tu zinawachanganya hao, imagine mimi wa kwangu hata nywele simfikiiš¤£Mwenyewe wanasemaga mdogo wangu mzuri kunizidi wananiudhii
Warembo wapo wengi tu, uwe unavizia selfika za wadada wapole humu binti kiziwi, nifah ushangaeVichwa gani mamaake hizo lips uwii, mimi nikajuaga humu hakunaga warembo kasoro mwafulani tu, nimesapraiziwa hizi siku mbili acha kabisaš¤£š¤øš½āāļø