Selfika na JF: Snap it. Show it

Selfika na JF: Snap it. Show it

Haya bwana wacha mie nikalaze komwe! sijui ndio shakuwa sugu! naona ninamaliza tu chupa na siyumbi kichwa kinaniuma tu bure ndio maana napigaga zangu whiskey tu!
Ingia soba halafu piga uone
 
acheni unafiki nyie watu wa jf...yaani nilitegemea ningekuwa pm imejaa balaa...mweeee !! hamna ata mtu wakutaka kunijulia hali.
anyways nilikuwa napambania life ndugu yangu mambo yalikuwa magumu zilipigwa penalty mimi na israel, israel penaty yake imegonga mwamba ndio pona yangu. sasa nimerudi full afya ni mwendo wa burudaniiiiiiiiiiiiiiiiiiii
Wee Mzab, ulipoteleaaa wapiii? Na kukaanga watu wanafiki kisa hawajakucheki PM kwiooo?
😂😂😂😂 karibu tenaa.
 
Back
Top Bottom