Seran
JF-Expert Member
- Feb 7, 2025
- 20,934
- 59,918
kuna nini? pita hapa kwa picha sio physically!Njoo USA
kuna nini? pita hapa kwa picha sio physically!Njoo USA
Never shall that be.kuna nini? pita hapa kwa picha sio physically!
why?Never shall that be.
Teknolojia imekuwa sana ukiweka pic mtandaoni hata kama umepiga choo chako sio picha yako hiyo pekee inaweza kukuletea shida fwatilia Uzi wangu wa kutembelea eneo la white house Pennsylvania avenue nitapiga picha pale ila sio kizembewhy?
Ulijifichaga wapi😂🙌🏾
Imagine huyu amekutanulia mapaja aaaah
Unakula pombe ,unachoma na kanyama kako halafu hakuna anae kudai😅Dah kakoje hako mwanangu? 😅
Aisee🙄Ulijifichaga wapi😂🙌🏾
Ugonjwa wangu dimples na kidevu kama Cha Adele😂🏃🏾
Mtoto jicho jichoAisee🙄
Duh sawa umeeleweka mkuu..Te
Teknolojia imekuwa sana ukiweka pic mtandaoni hata kama umepiga choo chako sio picha yako hiyo pekee inaweza kukuletea shida fwatilia Uzi wangu wa kutembelea eneo la white house Pennsylvania avenue nitapiga picha pale ila sio kizembe
hapa nishafikisha altar yangu nusu mziki wa taratibu, nimetamani hizo nyama sasa 😍Unakula pombe ,unachoma na kanyama kako halafu hakuna anae kudai😅
Sioni ukipungua wewe 😁hapa nishafikisha altar yangu nusu mziki wa taratibu, nimetamani hizo nyama sasa 😍
nimekuwa kabonge yani hujaniona tu 🤣Sioni ukipungua wewe 😁
MambAisee🙄
Mhm sio kweli mara ya mwisho tunaongea hauna hata kg 65 labda kama unakula nguruwe 🚮nimekuwa kabonge yani hujaniona tu 🤣
Poa.Mamb
sijamuonja mdudu nina muda mrefu sana, basi tu nimejiachia sana kipindi hiki, nataka kurelax huu mwaka, nimekuwa busy sana miaka ya nyuma aisee! wacha nipumue ninenepe nishindwe kupita mlangoni 😆Mhm sio kweli mara ya mwisho tunaongea hauna hata kg 65 labda kama unakula nguruwe 🚮
Hahaha acha A aanze kutaka kuongea na wewe 😅sijamuonja mdudu nina muda mrefu sana, basi tu nimejiachia sana kipindi hiki, nataka kurelax huu mwaka, nimekuwa busy sana miaka ya nyuma aisee! wacha nipue ninenepe nishindwe kupita mlangoni 😆