ephen_
JF-Expert Member
- Oct 28, 2022
- 19,504
- 71,190
Aaah wewe sasa umezidi, una kipilipili?Rangi tu zinawachanganya hao, imagine mimi wa kwangu hata nywele simfikiiš¤£
Aaah wewe sasa umezidi, una kipilipili?Rangi tu zinawachanganya hao, imagine mimi wa kwangu hata nywele simfikiiš¤£
Naomba uwe unanitunzia risit maana nakutanaga na vitu vya ajabu ajabu tuš¤Warembo wapo wengi tu, uwe unavizia selfika za wadada wapole humu binti kiziwi, nifah ushangae
Ndio, namaliza ela zangu kwa bonniestyles_ ni vichekeshošAaah wewe sasa umezidi, una kipilipili?
UsijaliNaomba uwe unanitunzia risit maana nakutanaga na vitu vya ajabu ajabu tuš¤
We ni mama boy? Nmeona ka-junya pembeni kabongešUsijali
Ndio! Na mwingine anakuja naombea awe pia boyWe ni mama boy? Nmeona ka-junya pembeni kabongeš
Kwanini hutaki vidada?Ndio! Na mwingine anakuja naombea awe pia boy
Naona raha vile wenye watoto wa kiume wengi wanaitwa mama boys, sijawahi kuona mwenye watoto wa kike anaitwa mama girlsKwanini hutaki vidada?
Tupia nikuoneZa asubh wanaselfika
Ni raha kwakweli mine huyu 3 yrs ago! Now mbaba!Naona raha vile wenye watoto wa kiume wengi wanaitwa mama boys, sijawahi kuona mwenye watoto wa kike anaitwa mama girls
šKumbe una sura nzuri hivi? Mbona kama wewe ni mpare?Ni raha kwakweli mine huyu 3 yrs ago! Now mbaba!View attachment 3602073
Sura ya kibabe, sukuma moja hiyoš¤£šKumbe una sura nzuri hivi? Mbona kama wewe ni mpare?
Mimi huwa sijazi watu uongo, nikiona mambo hamna huwa napita kimyakimya tu.Sura ya kibabe, sukuma moja hiyoš¤£
Unaona umeanza kunijaza, ni mwendonwa kujazana mibichwa tu selfikaš¤£
Msukuma pure kabisa! Uwe unawajaza wajisikie vizuri buana!š¤£Mimi huwa sijazi watu uongo, nikiona mambo hamna huwa napita kimyakimya tu.
Msukuma pure au umechanganya
Unafiki siwezi bora nikae kimyaMsukuma pure kabisa! Uwe unawajaza wajisikie vizuri buana!š¤£
Nakuvizia sijawahi kukukamata o weweSura ya kibabe, sukuma moja hiyoš¤£
Unaona umeanza kunijaza, ni mwendonwa kujazana mibichwa tu selfikaš¤£
Kuna siku nilikuta sifa zimemiminwa page mbili balaa, hmm nikasema labda kweli, uweeh siku nikafuma kinachosifiwaš„²š¤¦š½āāļøUnafiki siwezi bora nikae kimya
Dadaake! Hebu pita kwanza bado tumelala na hiki kimvuašNakuvizia sijawahi kukukamata o wewe
Uzuri wa mtu upo machoni pa mtu hujui?šKuna siku nilikuta sifa zimemiminwa page mbili balaa, hmm nikasema labda kweli, uweeh siku nikafuma kinachosifiwaš„²š¤¦š½āāļø