min -me
JF-Expert Member
- Jul 20, 2022
- 57,626
- 164,918
Bwashee upo?this is beautiful...aise kabody katamu haka...sasa hizi ndio sampuli zangu wakuu
Bwashee upo?this is beautiful...aise kabody katamu haka...sasa hizi ndio sampuli zangu wakuu
Kurembua kidume , omba msamahaNdiomaana unarembua, haya pita mahi😆
Ninaomba msamahaKurembua kidume , omba msamaha
aisee nipo long time sana nilikuwa napiga penalty na israel lakini penati yake imegonga mwamba ndio pona yangu...sasa nimerudi afya tele. kwema humu lakiniBwashee upo?
We mtu ulikuwa wapi.this is beautiful...aise kabody katamu haka...sasa hizi ndio sampuli zangu wakuu
Li captain, lina vibe flani la kibingwa , nakazia na Heineken hapaNinaomba msamaha
Hiyo na hunting lodge ndo my fav miaka nenda miaka rudi!Li captain, lina vibe flani la kibingwa , nakazia na Heineken hapa
Hahaha tushazeeka bwashee 2012 nakumbuka ulinikaribisha wa kwanza jf😅aisee nipo long time sana nilikuwa napiga penalty na israel lakini penati yake imegonga mwamba ndio pona yangu...sasa nimerudi afya tele. kwema humu lakini
Pole snaisee nipo long time sana nilikuwa napiga penalty na israel lakini penati yake imegonga mwamba ndio pona yangu...sasa nimerudi afya tele. kwema humu lakini
Naanza kuishi nalo kibingwaHiyo na hunting lodge ndo my fav miaka nenda miaka rudi!
acheni unafiki nyie watu wa jf...yaani nilitegemea ningekuwa pm imejaa balaa...mweeee !! hamna ata mtu wakutaka kunijulia hali.We mtu ulikuwa wapi.
Khaaa
Kila La kheri!Naanza kuishi nalo kibingwa
asante....nipo hapa kuenjoy sasa maana nilimiss sana jf jamani. huku sasa wale warembo zangu sii wataku walishaolewa kabisaPole sn
Tunashukuru Mungu kakutetea iko mzima
Karibu tena
Dah ile gari inanichachia ujue😭Kila La kheri!
bado tunadunda mwanawane full rahaHahaha tushazeeka bwashee 2012 nakumbuka ulinikaribisha wa kwanza jf😅
Haupo serious wewe! Hebu pita kwanza unatrendisha uziDah ile gari inanichachia ujue😭
Ningepita ila simu nishaipasua kioo , huku juu haitachi kabisa siwezi tuma picha , nikifika home nitabadili nitumeHaupo serious wewe! Hebu pita kwanza unatrendisha uzi
We tuma hata ya zamani bwana unapenda kubembelezwa!Ningepita ila simu nishaipasua kioo , huku juu haitachi kabisa siwezi tuma picha , nikifika home nitabadili nitume
Mno bwashee, wana wa enzi hizo nikiona bado mnapumua nafurahibado tunadunda mwanawane full raha