Kimiminika fulani huwa kinabe-Extracted kutoka kwenye mti wa mchikichi/Mgazi..
Hiko Kimiminika ndio hutumika kama Alcohol kwenye pombe ya kiha (pombe ya ndizi) Wanatia kidogo..Yanalewesha hatari.
Sijui hasa process ya kutoa hicho inaitwaje Scientifically..Pia sikumbuki vizuri inavyotolewa maana nineshudia nikiwa kama na 7yrs