AYnay
JF-Expert Member
- May 7, 2026
- 1,707
- 4,488
Imeisha hiyo, si number 39 eehYap, nimeipenda 😍
Imeisha hiyo, si number 39 eehYap, nimeipenda 😍
Mambo kwa ushahidi, nioneshe comment nilioahidi jumanne natuma. DHL utalipa mwenyewe. 1KG inaweza karibia nusu ya bei ya kiatu ama zaidi😹😹😹😹 Siku uliyomuahidi Lamomy..!!
Ahadi ni deni, hakuna shaka😹😹😹😹 Naye anavaa 39 😜
Nipe tu lamomy hana shida..!!
Hata mimi sina noma, akisema nikupe. Haraka sana😹😹😹😹 Naye anavaa 39 😜
Nipe tu lamomy hana shida..!!
😹😹😹 Tunaogopa kutekwa..!!Nimeshindwa kumtaja hapa, nimekuja nikunong’oneze na wewe umefunga 😂. Mna hofu gani
Bana weeh nilikua nawasindikiza wageni.Kesho jioni nikitoka kuhudumia wazalendo, nitapita hapo nikuchukulie, ulipotea hewani wakati nipo dukani hapo 🙂
Ndio boss, haya selfika sasa..!!Imeisha hiyo, si number 39 eeh
😹😹😹 Tutumie hiyo hiyo ya Lamomy inatosha..!!Mambo kwa ushahidi, nioneshe comment nilioahidi jumanne natuma. DHL utalipa mwenyewe. 1KG inaweza karibia nusu ya bei ya kiatu ama zaidi
😍😍😍Ahadi ni deni, hakuna shaka
kama utaelewa kila mtu ataelewa.. haya sasa ni wakati wa ku-selfika. Siondoki hapa mpaka utipie moja matata😹😹😹 Tunaogopa kutekwa..!!
Ila mbona humu member wengi pm zao zipo wazi..!!
Mtaje kwa code mi nitamjua tu na ujumbe nitaufikisha bila tatizo na pm utafunguliwa..!!
Kasema unipe sisi twins 😹😹😹Hata mimi sina noma, akisema nikupe. Haraka sana
😅Bana weeh nilikua nawasindikiza wageni.
Leo jpili mawinga tuko off hivyo tunapata wageni home..!!
Kesho nichukulie basi
Anatakiwa aniambieKasema unipe sisi twins 😹😹😹
Wewe niliselfika ukatoka hadi nikafuta akaiona chica 😹😹kama utaelewa kila mtu ataelewa.. haya sasa ni wakati wa ku-selfika. Siondoki hapa mpaka utipie moja matata
Iache hapo hapo dukani namtuma mtu afate..!! Wewe lipia😅
Usijali usijali, jioni utanipa maelekezo ikufikiaje winga mashuhuri
😹😹😹 Kwahiyo huniamini?Anatakiwa aniambie
Dunia sina mtu namwamini 😂😹😹😹 Kwahiyo huniamini?
No tunapishana, kila nikija umefutaWewe niliselfika ukatoka hadi nikafuta akaiona chica 😹😹
Bado niko hapa nakusubiriWewe niliselfika ukatoka hadi nikafuta akaiona chica 😹😹