Selikavu
JF-Expert Member
- Jul 14, 2017
- 15,052
- 33,745
Kuwa mpole tuu mkuu 😃Kubabeki zao 😁😁😁
Kuwa mpole tuu mkuu 😃Kubabeki zao 😁😁😁
Umetuwakilisha vizuri watanzania wenzako?Nipo na rafiki yangu hapo tumetulia tu
Kuna vitu havivumiliki.. huu ni ukatili wa hali ya juuKuwa mpole tuu mkuu 😃
Umetuwakilisha vizuri watanzania wenzako?
NChi za wenzetu unafungua case kabisa umefanya emotional torture 😃😃Kuna vitu havivumiliki.. huu ni ukatili wa hali ya juu
Ni ku-dili na moderators, button ya block inatosha. Nimekwazika😩NChi za wenzetu unafungua case kabisa umefanya emotional torture 😃😃
Pole sana mkuu 😃Ni ku-dili na moderators, button ya block inatosha. Nimekwazika😩
Hahahaha alooooh..Clement mwandambo Poor brain😃😃
Binadamu utawaweza basi, wewe potezea..!!Yeah ni mkinga lakin unajua tunafata kwa mshua...
Hii issue ningekuwa mgeni sawaa nimekuwepo kipind chote nimeona yaliyojiri....
Ulikua unamtumia nani nikusaidie kumshawishi akufungulie 😹😹😹Wakuu, kwanini baadhi ya watu siwez kuwatumia Private message? Ni uzee ama nakosea sehemu. Wakati wote napata jumbe “kumradhi kuna changamoto kidogo”
Brown my favorite color 😍hii imeisha imebaki black nayo ni kubwa, options zingine hizoz sema ipi hapo utumiwe
C.c cocastic
View attachment 3589992View attachment 3589991View attachment 3589993
Yap, nimeipenda 😍umeipendaa ?
Nikuchukulie hapa kabla sijaondoka ?
😹😹😹😹 Siku uliyomuahidi Lamomy..!!kama ni Lamomy.. wewe nilikuahidi lini?😁
😹😹😹 Kwahiyo sisi utatuletea nini?Inabidi niitafute ile comment. La sivyo nitapigwa za kichwa nakumbuka hadi size aliniambia jina ndio nimesahau. Nyie wengine nitawafikiria ila sio sneakers🚶🏿♂️➡️🚶🏿♂️➡️
😹😹😹😹 Naye anavaa 39 😜Huyu hapa
Nimeshindwa kumtaja hapa, nimekuja nikunong’oneze na wewe umefunga 😂. Mna hofu ganiUlikua unamtumia nani nikusaidie kumshawishi akufungulie 😹😹😹
Kesho jioni nikitoka kuhudumia wazalendo, nitapita hapo nikuchukulie, ulipotea hewani wakati nipo dukani hapo 🙂Brown my favorite color 😍
Nitumie hiyo ya kwanza boss..!! 🔥🔥🔥