Dah..... Nimeutamani....
![]()
Pesa sabuni ya roho, hayo ni maneno ya kuiga/
HahahahahahaDah... Poapoa.. My apology.. Ila hata wewe nakufahamu![]()
Nimeshaweka pale juu mbonaNawasalimia misukule wote wa bwana Mshana jamaa anatugeuza anavyojisikia tu,
miminimama nimekuona aisee bonge la zigo
Saint anne imebidi nikusave bado natafuta gukitambi gulipo
Hawachi umejikausha picha yako inatakiwa
Sakayo naona muguu upo, jana kasura kalinibariki sana
Ntarudi
Nimeshaweka pale juu mbona
Mhu kasugue mguuTunaweza kutumia fulsa ya udalali kwenye kuselfika piaView attachment 1219647


Nani amekupa?Hahahaha ninayo ya jana usiku jidanganye na nimeshaitupia tsup
😂😂😂🏃🏃🏃 mguu wa mwanangu
Daah aisee Safi kabisa miguu yenyewe iyo classic
Kimlonjo 😂😂😂🏃🏃🏃Daah aisee Safi kabisa miguu yenyewe iyo classic
No body to ring it!