Intelligent businessman
JF-Expert Member
- Sep 6, 2022
- 46,409
- 102,314
Huwa namsema kila siku, hizo mada uchwara una zipenda kwanini akati kisu kabisaWalijua kanyata km wao!
Ila wachawi wa JF 😹😹😹
Kawaziba midomo
Huwa namsema kila siku, hizo mada uchwara una zipenda kwanini akati kisu kabisaWalijua kanyata km wao!
Ila wachawi wa JF 😹😹😹
Kawaziba midomo
Jana kuna issue nilikua naifanya nikapitwa uduguu.. do ze needful 😍Wee nae ulikua wapiii? Au viwanjaaa kuburudika na lives band?
Jana nilipita hapa usiku sanaa, yaan usiku mneneeee. [emoji23][emoji23][emoji23]
Aje nimpe ubuyu, ujue ukiwa NYC lazima umiss umbea wa bongo..!![emoji23][emoji23][emoji23]
Kashatuchamba kizungu dadeq 😹😹Nakuambiaaa kuishi NYC tayarii yuko mbele ya muda haswaaa.
[emoji23][emoji23][emoji23]
Kuna kidume gani ana lipsi za kiwaki ka zako, mtu uki nyonya pipi inaisha ka sio kupukutika[emoji23][emoji23][emoji23] kakudanganya nanii? Ogopa matapeliii. Lol
😹😹😹 Yeye mtetezi wa watu wasio na watetezi..!!Huwa namsema kila siku, hizo mada uchwara una zipenda kwanini akati kisu kabisa
Wee umeanzaa kulewa asubuhii hii?? [emoji23][emoji23][emoji23][emoji81][emoji81][emoji81] Chai nainywea hapa leo!
Nimekumbuka mambo ya ajira portal na full details za watu nimecheka sana!!
Hivi inawezekana ukawatafutia watu kazi ikiwa mwenyewe huna? Au ndio style mpya ya kuungwa magroup ya telegram kwa kina Fatuma mautamu?? [emoji81][emoji81]
[emoji23][emoji23][emoji23] narudia Ogopa matapeli IB, usijesema hauku ambiwa?. Wee hayaaa. LolKuna kidume gani ana lipsi za kiwaki ka zako, mtu uki nyonya pipi inaisha ka sio kupukutika
Una muunga mkono kwenye ujinga, yeye akazanie jinsia yake hizo habari nyingine tupa kule.😹😹😹 Yeye mtetezi wa watu wasio na watetezi..!!
Hata mimi ss hivi namuunga mkono ifike muda kila binadamu awe huru kuishi duniani vile anavyojisikia na mwili wake..!!
Tutakosaje kwa kuishi? Kiranga, Nyani Ngabu, Ambition plus, yaan ni kuhama hama tuu, tunachagua kwa kuishi.Kashatuchamba kizungu dadeq [emoji81][emoji81]
Uduguu tujipange twende tukacheck World Cup afu tusirudi. Tutaishi kwa Kiranga [emoji1787]
Haswaaaa tuko kwa ajiri ya umbea tuu humuuu, [emoji23][emoji23][emoji23]Aje nimpe ubuyu, ujue ukiwa NYC lazima umiss umbea wa bongo..!!
Na sisi wambea tupo kwa kazi hizo uduguu [emoji81][emoji81]
[emoji23][emoji23][emoji23] issue ganii au kuhadaika na shemelaaa?Jana kuna issue nilikua naifanya nikapitwa uduguu.. do ze needful [emoji7]
Live bands napenda kwenda Ijumaa na Jumamosi
Umeanzaaaaa!!! Mada ganii tenaaa?Huwa namsema kila siku, hizo mada uchwara una zipenda kwanini akati kisu kabisa
Sio walio left tasnia ya marijali fcUmeanzaaaaa!!! Mada ganii tenaaa?
Si ndiwooooooo!! [emoji23][emoji23][emoji23][emoji81][emoji81][emoji81] Yeye mtetezi wa watu wasio na watetezi..!!
Hata mimi ss hivi namuunga mkono ifike muda kila binadamu awe huru kuishi duniani vile anavyojisikia na mwili wake..!!
SitakiiiiiiiiiiiiiUna muunga mkono kwenye ujinga, yeye akazanie jinsia yake hizo habari nyingine tupa kule.
Hao mie ndio mawakili waoo. [emoji23][emoji23][emoji23]Sio walio left tasnia ya marijali fc
Hao matapeli wenyewe walaini walaini tu, ka wewe ndio master wao basi ni kuku bila mfupa[emoji23][emoji23][emoji23] narudia Ogopa matapeli IB, usijesema hauku ambiwa?. Wee hayaaa. Lol
😹😹😹 Kadakwa kizembe na ujanja wake wote kaungwa telegram na kina Asha jibwa 🤣Wee umeanzaa kulewa asubuhii hii?? [emoji23][emoji23][emoji23]
Acha watu watafutiwe kazi kwa upendo bhana, huko Telegram kuna ninii jamaniii?
Ila nilicheka shengesha ya Mpare, anakataa afu kulee naona km ina sounds kwelii vilee, aaah [emoji23][emoji23][emoji23]
Mie natafuta kazi ya kwenda mambele kuosha vikongwe na vizee,
Ambition plus naomba msaada wa connection za kuzamia huko plz.
Ujinga upi hapo?Una muunga mkono kwenye ujinga, yeye akazanie jinsia yake hizo habari nyingine tupa kule.