Wengi wanalikosea hilo. Halipigwi hivyo. Hivyo wanapiga wazee. Kama ulivyoiweka nyanyua magoti juu. Hilo linapigwa kama push up,magoti yasiguse chini. Nenda nalo mbele,rudi nyuma. Angalia usije ukaangukia meno kwa sbb unaanza. Utagundua tofauti na ulivyokuwa mwanzo. Kwanza tumbo likaza sana. Kwa mara ya kwanza ngozi ya tumbo itakuuma
Daah hizi dharau sasa,, mie nina sura ya kiutu uzima eti..
Kwa mara ya kwanza nilipewa simu mwaka 2014 mwanzoni kipindi cha likizo ya kumaliza form 4 tena ni baada ya matokeo kutoka,, ila JF nimeijua muda sema basi tu..
We siku ile si tuliongelea mambo ya baba mkwe ukaniambia nataka tu pension. Ukasema upo kazini kuhakikisha baba mkwe anapatikana. Nilipokuuliza si hukuelewa