Selfika na JF: Snap it. Show it

Yeaaah!! Ndio maeneo hayo hayo nilikua nakuona, pindi nafika pale Mr Classic hair cutz salon,
Umetisha sana mwanakwetuu, kumbe tunapishana njiani na tuko JF wotee.
Aiiiih.
Ooh jamani😅😅 mbona ulikua unistui sasa…

Itabidi siku tukale mbuzi chanta
 
Jirani 🥰🥰🥰🥰
Hii ndo selfika sasa vitu vikali, rangi zimepoa 😍

Jirani nnaye na natamba nayeeee 🤸‍♀️
Tulimiss hivi vitru muwe mnatupia jamani.

Nyanda za juu kusini stand upppppppp
Serious jirani bado ipo,. Naomba nisaidie kufuta hii comment basi please 🥹🙏
 
Ooh jamani[emoji28][emoji28] mbona ulikua unistui sasa…

Itabidi siku tukale mbuzi chanta
Aiseeeeh nimefurahi kuona mwanakwetu yupo humu [emoji8][emoji8]
Kwakweli itabidi iwe hivyo, tukale mbuzi chomaa mahii
 
Hana kipengele bana leejay kajua kunyoosha [emoji91][emoji91][emoji91]
Levels babeee!! Ni vitendoo tyuuh, manenoo tupa kuleee.
Haya mambo ndio tunataka sisi. [emoji91][emoji91][emoji91]
 
[emoji23][emoji23][emoji23]
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…