Selfika na JF: Snap it. Show it

Selfika na JF: Snap it. Show it

Ndio uzi unaoongoza kwa ban na ndio uzi unaoongoza kwa fan wake kula ban😂

Ile ya siku ile si sawa na kuwapa wachezaji red card mp aka na mpira wenyewe😂😂😂
Balaaa, halafu kipindi kile nilikuwa nasoma kimya kimya nikashangaa Kufuli kubwa 😀
 
Balaaa, halafu kipindi kile nilikuwa nasoma kimya kimya nikashangaa Kufuli kubwa 😀
Zilitembezwa ban mpaka nikasema moderator wa leo kapata mjani nini😂 Halafu akamalizia na uzi wenyewe🤣🤣🤣
 
Uwanja uwe safi leo saa 3 kuna pambano, hakuna kuita mods wanoko tunawajua..!!

Wenye picha zenu tulieni nazo mtaendelea kesho..!! Leo uwanja uko busy..!!

Hakikisha una popcorn na utulie kushuhudia which is which.. SAWASAWA? 😹😹

Nuzulati wifi njoo kijiwe kina uzinduzi huku
Jamanii nakuja nawe umepigwa ban😥
 
Back
Top Bottom