Hatari sana, sema huu uzi umepitia mengi. Kuna kipindi mpaka wenyewe ukala Ban ๐Nilijua tu hapatakucha salama๐๐ฟ๐๐ฟ๐๐ฟ
Ndio uzi unaoongoza kwa ban na ndio uzi unaoongoza kwa fan wake kula ban๐Hatari sana, sema huu uzi umepitia mengi. Kuna kipindi mpaka wenyewe ukala Ban ๐
Balaaa, halafu kipindi kile nilikuwa nasoma kimya kimya nikashangaa Kufuli kubwa ๐Ndio uzi unaoongoza kwa ban na ndio uzi unaoongoza kwa fan wake kula ban๐
Ile ya siku ile si sawa na kuwapa wachezaji red card mp aka na mpira wenyewe๐๐๐
๐๐๐ alikuwa hataki kujua chochote ni Ban tuZilitembezwa ban mpaka nikasema moderator wa leo kapata mjani nini๐ Halafu akamalizia na uzi wenyewe๐คฃ๐คฃ๐คฃ
Pole sana Mdau ๐Duhh niliishia sijui ya 17
JF imeanza kuchangamka sasa ๐ ๐Hapana ngoja twende halftime kwanza! Timu zijipange๐
Anza ni nzuri sanangoja nianze kuifatilia leo
Dad kwanini lakini ๐ ๐
Jamanii nakuja nawe umepigwa ban๐ฅUwanja uwe safi leo saa 3 kuna pambano, hakuna kuita mods wanoko tunawajua..!!
Wenye picha zenu tulieni nazo mtaendelea kesho..!! Leo uwanja uko busy..!!
Hakikisha una popcorn na utulie kushuhudia which is which.. SAWASAWA? ๐น๐น
Nuzulati wifi njoo kijiwe kina uzinduzi huku
๐๐๐๐๐katika watu natamani kuonana nao ni wewe una U comedi mwingi๐ซถ๐ปJamani njooni huku Binti wa zamani win-one na wengine muwatag mje huku kuna nini sijui nyeusi tiii ๐น๐น๐น
hebu anza wew dakitari wa ukoo
Kama kimondoooohebu anza wew dakitari wa ukoo
nakusubir hapaKama kimondoooo