Hatari sana, sema huu uzi umepitia mengi. Kuna kipindi mpaka wenyewe ukala Ban 😑Nilijua tu hapatakucha salama🙌🏿🙌🏿🙌🏿
Ndio uzi unaoongoza kwa ban na ndio uzi unaoongoza kwa fan wake kula ban😂Hatari sana, sema huu uzi umepitia mengi. Kuna kipindi mpaka wenyewe ukala Ban 😑
Balaaa, halafu kipindi kile nilikuwa nasoma kimya kimya nikashangaa Kufuli kubwa 😀Ndio uzi unaoongoza kwa ban na ndio uzi unaoongoza kwa fan wake kula ban😂
Ile ya siku ile si sawa na kuwapa wachezaji red card mp aka na mpira wenyewe😂😂😂
😂😂😂 alikuwa hataki kujua chochote ni Ban tuZilitembezwa ban mpaka nikasema moderator wa leo kapata mjani nini😂 Halafu akamalizia na uzi wenyewe🤣🤣🤣
Pole sana Mdau 😁Duhh niliishia sijui ya 17
JF imeanza kuchangamka sasa 😅😀Hapana ngoja twende halftime kwanza! Timu zijipange😂
Anza ni nzuri sanangoja nianze kuifatilia leo
Dad kwanini lakini 😅😅
Jamanii nakuja nawe umepigwa ban😥Uwanja uwe safi leo saa 3 kuna pambano, hakuna kuita mods wanoko tunawajua..!!
Wenye picha zenu tulieni nazo mtaendelea kesho..!! Leo uwanja uko busy..!!
Hakikisha una popcorn na utulie kushuhudia which is which.. SAWASAWA? 😹😹
Nuzulati wifi njoo kijiwe kina uzinduzi huku
😁😁😁😁😁katika watu natamani kuonana nao ni wewe una U comedi mwingi🫶🏻Jamani njooni huku Binti wa zamani win-one na wengine muwatag mje huku kuna nini sijui nyeusi tiii 😹😹😹
hebu anza wew dakitari wa ukoo
Kama kimondoooohebu anza wew dakitari wa ukoo
nakusubir hapaKama kimondoooo