ShesRise_1
JF-Expert Member
- Aug 21, 2025
- 17,014
- 40,169
Akili mingiTuma basi hata hiyo zamani, alafu tafuta photo shooter mmoja nimlipe akupige hizo mpya sasa.
Akili mingiTuma basi hata hiyo zamani, alafu tafuta photo shooter mmoja nimlipe akupige hizo mpya sasa.
😏😏😁namtoa wapi jamni huku kijijin hatuna ma photo shooter😪
Mtumie picha kijana wa watu ebooonifanye kitu gani maiLodi🙃🤭😅
akirudi niite niselfike nimepata picha ya mwaka 2007💃Mtumie picha kijana wa watu ebooo
Poker weyayu yuuu kamu hiya 🔥🫰akirudi niite niselfike nimepata picha ya mwaka 2007💃
Kosa langu liko wapi?😢dada m baya wew khaaa😄 ndo maana unafananishwa na aidii za watu, umechangamkaaaa
haya selfika acha maneno mengi😋Kosa langu liko wapi?😢
Kumuita mtu🤔
Nimechangamshwa sikua hivi ujue😎
Na hao wanaonifananisha watajua wenyewe 😅😅😅
Kwani hakuna sehem ya voice note hapa wasikie sauti nyororo😁🏃♂️🏃♂️ata usitake kuwafaidisha,, sisi tuishi kama uzi unavyotaka, kiufupi selfika kwa faida yako kipenzi maana bado watasema umetuma pic za uongo😄
mi pia huwa natamani kungekua na option ya voice note, maana kuna mda nachokaga kuandika😪, ila ndo hivyo labda moods watuzingatieKwani hakuna sehem ya voice note hapa wasikie sauti nyororo😁🏃♂️🏃♂️
Hata hivyo sio kwa ajili yao mbona
Wakae humu 🚮
Umeonaa eeeh ila mimi nisingetuma voice time ya ugomvi 😁mi pia huwa natamani kungekua na option ya voice note, maana kuna mda nachokaga kuandika😪, ila ndo hivyo labda moods watuzingatie
haya selfka babe love👌🤗
ndio ningetuma kwa herufi kubwa kabisaaa, kuhusu sauti ipo ipo kidogo😄😄 ningemtag mtu atoe ushahidi ila naogopa mtamuuliza na vingineUmeonaa eeeh ila mimi nisingetuma voice time ya ugomvi 😁
Vp wewe ungetuma ?
Sauti ina mamlaka 😂
jamni sijapendraaa umeshindwa hata kuthamini hayo majina mazuri ninayo kuita? watu hamna shukrani kabisa😪😆😆Siselfiki ng'ooooo
Ebu nino ng'oneze ujue saiv tupo wawili hapa 🫢ndio ningetuma kwa herufi kubwa kabisaaa, kuhusu sauti ipo ipo kidogo😄😄 ningemtag mtu atoe ushahidi ila naogopa mtamuuliza na vingine
Eb ita tena tuone kama nitasisimkajamni sijapendraaa umeshindwa hata kuthamini hayo majina mazuri ninayo kuita? watu hamna shukrani kabisa😪😆😆
akuuu we kuweza😆😆😆Ebu nino ng'oneze ujue saiv tupo wawili hapa 🫢
sitaki tena😔Eb ita tena tuone kama nitasisimka
Naweza sana tuakuuu we kuweza😆😆😆
Yooooo darling ♥️sitaki tena😔