Kuna kitu muhimu sana kaweka kwenye ile comment uduguu nitakurushia pm ๐น๐น[emoji23][emoji23][emoji23] unatunza masijaraaa, ila uduguuu.
Mnaandika uongo ili mjifurahishe kuwa mmemuweza deppal? Tafuteni njia nyingine๐น๐น๐น Bartasar usije kuwa ni CH umepita mlango wa nyuma.!.!
Kamanda pambania penzi lako kwa CH, as if ulisema alikua mwema kwako na hamkugombana wala nini, wee pigania kilichokua chako, kumbuka CH ulianza kumjua wee kabla ya Debo. Lol[emoji1787][emoji1787] Mimi Sina hisia zilisha tangu, str joro, fake attention mnazompa ndio zinamponza. Huyu sio wakumuonea huruma hata kidogo, anatangaza ubaya Hamjui mtu hawezi kujidefend, Lakin Kwan mnamuita debora?
Nimewaza hivyo pia ujue, [emoji23][emoji23][emoji23][emoji81][emoji81][emoji81] Bartasar usije kuwa ni CH umepita mlango wa nyuma.!.!
Uongo uko wapi?Mnaandika uongo ili mjifurahishe kuwa mmekuweza depal? Tafuteni njia nyingine
Wewe pia shenzi zako. Kwa kuwa kwenu si nyumba ya ghorofa au hauishi masaki kwa hiyo hutakiwi kwenda hata hotelini kunywa juice?Debo ana wake wenza wengi humu ๐น๐น๐น
Nimekumbuka na wewe mke mwenzio uduguu kwa M ๐คฃ๐คฃ๐คฃ๐น๐น
Huyu anaonekana ana fake life inatakiwa achunguzwe shenzy zake..!!
Wee BE au CH kwa vazi jingine hapa JF? tulia kidogo, jana ilikua zamu ya Debo, Leo Fake P. Em tuache plz. Khaaah.Kwenu kupoje? Hapo kna ubaya gani? Mnaongea usengerema mtupu.
Pia maswala ya wazazi ya kazi gani? Mmeshindwa kumzungumzia yeye mwenyewe?
Sina mpango wakucheka. Kaa chini usimchokoze mtu usiyemjua halafu yeye anakujua. Hakuna rangi utaacha kuonaYote uliyoandika ni uongo. Mimi namfahamu
Unatafuta sifa za uongo ambazo hazina faida kwako. If you can not beat her ,join her
Ninamjua deppal, hakuna uongo nitaoukubali kuhusu yeye. Fanyeni kazi muingize pesa, sio kuweka uzushi ili mjifurahisheNimewaza hivyo pia ujue, [emoji23][emoji23][emoji23]
Ni YEYEEE
๐น๐น๐น Ni yeye wanaume wa humu wacenge wacenge sana linapokuja suala la kugombaniwa na mademu..!!Nimewaza hivyo pia ujue, [emoji23][emoji23][emoji23]
Ni YEYEEE
[emoji23][emoji23][emoji23] ko Debo anaogopa kwata na Doso kutoka kwa Fake p? CH yupo atawaamulia bhana.We fake P huyo D anasema wewe ni bff wa bwanake sasa kwanini unamchunguza na kumfatilia na kumtisha??
Nitumie PM plz uduguu, [emoji23][emoji23][emoji23]Kuna kitu muhimu sana kaweka kwenye ile comment uduguu nitakurushia pm [emoji81][emoji81]
Yani mods wamefuta chap, nilipiga shot kabla ya kusoma vizuri..!!
Hizi hasira tafuta pa kuzipeleka. Huwezi shindana na mtu alite smart. Hutafanikuwa utaanguka. Tafuta maisha, deppal ana yake kuandika uzushi hakukuoi furaha yoyoteSina mpango wakucheka. Kaa chini usimchokoze mtu usiyemjua halafu yeye anakujua. Hakuna rangi utaacha kuona
Mi shenzy kweli bro ๐น๐น๐นWewe pia shenzi zako. Kwa kuwa kwenu si nyumba ya ghorofa au hauishi masaki kwa hiyo hutakiwi kwenda hata hotelini kunywa juice?
Acheni akili za kimaskini
Hakuna aliyenituma, namfahamu deppal. Mnaandika uzushi ili mjipe furaha? Halafu?Wee BE au CH kwa vazi jingine hapa JF? tulia kidogo, jana ilikua zamu ya Debo, Leo Fake P. Em tuache plz. Khaaah.
Umetumwaaa?? [emoji23][emoji23][emoji23]
Hallelujah mtumishiIntelligent businessman pacha njoo kuna udambu dambu huku kijiweni..!! ๐น๐น
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji81][emoji81][emoji81] Ni yeye wanaume wa humu wacenge wacenge sana linapokuja suala la kugombaniwa na mademu..!!
Hebu atulie km miongozo analitendea jina lake smart..!! Huyu kitombi poumbou limemjaa kifua mbele kutaka kutuharibia ubuyu wetu mxieeeew [emoji81][emoji81][emoji81]
Kwa umbeya wako, utalishwa kuku wa wiki 2 ๐Wapi huko? Kisinia kisikose kuku aisee..!! ๐น๐น๐น
๐น๐น๐น CH *** kweli kapitia mlango wa nyuma kutuletea upuuzi wake hapa..!![emoji23][emoji23][emoji23] ko Debo anaogopa kwata na Doso kutoka kwa Fake p? CH yupo atawaamulia bhana.
Unaijua fake life? Au unaropokwa?Mi shenzy kweli bro ๐น๐น๐น
Sasa CH tumble unamtaka nani sio kuwavuruga mademu zako wanataka kuuana kisa dyudyu lako unalopaka vumbi ๐คฃ๐น๐น๐น