Selfika na JF: Snap it. Show it

Selfika na JF: Snap it. Show it

006da992-b9e7-44f7-bb17-ee3864a3bc94.jpeg
 
Endelea kuwategemea maana mapovu yanawatoka sio mchezo😂

Hivi babu mjukuu mmoja unanua shingapi nijitathmini🤭
Kununua tena jamani....hao ni wajukuu zangu kabisa na Bibi yenu, tumewalea wenyewe 😊

Kuwaagiza Kiko, ni sehemu yao kurejesha fadhila kwa babu yao...

Koh koh koh ....... Inaonekana leo una maswali mengi sana Mjukuu hadi kiko inanipalia, ukiniletea kiko jioni nitakujibu yote vizuri
 
Kuwaagiza Kiko, ni sehemu yao kurejesha fadhila kwa babu yao...
khaaaa nilikua sijaelewa kumbe ni comment zangu za kukuletea kiko ndo zinajadiliwa hapa🤣🤣🤣🤣,,, nimecheka walah

Babu Grahams uwe unatoa taarifa yawa sema nini nimekoma mwanetu mi sipendagi mabifu🤣🤣🤣 wacha nitulize povu pembeni maana sijielewi,,, endelea kututafuna
 
khaaaa nilikua sijaelewa kumbe ni comment zangu za kukuletea kiko ndo zinajadiliwa hapa🤣🤣🤣🤣,,, nimecheka walah

Babu Grahams uwe unatoa taarifa yawa sema nini nimekoma mwanetu mi sipendagi mabifu🤣🤣🤣 wacha nitulize povu pembeni maana sijielewi,,, endelea kututafuna
Hapana sio wewe bhana ni utani tu
 
khaaaa nilikua sijaelewa kumbe ni comment zangu za kukuletea kiko ndo zinajadiliwa hapa🤣🤣🤣🤣,,, nimecheka walah

Babu Grahams uwe unatoa taarifa yawa sema nini nimekoma mwanetu mi sipendagi mabifu🤣🤣🤣 wacha nitulize povu pembeni maana sijielewi,,, endelea kututafuna
Ulikuwa ni utani wa babu na wajukuu tu, you were not the target

Si unajua wajukuu wakianza kumtania babu yao hawaachi hadi giza linaingia 😂
 
khaaaa nilikua sijaelewa kumbe ni comment zangu za kukuletea kiko ndo zinajadiliwa hapa🤣🤣🤣🤣,,, nimecheka walah

Babu Grahams uwe unatoa taarifa yawa sema nini nimekoma mwanetu mi sipendagi mabifu🤣🤣🤣 wacha nitulize povu pembeni maana sijielewi,,, endelea kututafuna
Things kwa ground hazikuhusu, na tunataniana na babu yetu siye wajukuu lol🤣
 
Ulikuwa ni utani wa babu na wajukuu tu, you were not the target

Si unajua wajukuu wakianza kumtania babu yao hawaachi hadi giza linaingia 😂
hebu usinichekeshe, nioneshe ushawahi kuchart na nani kuhusu kukuletea kiko kwa charting za majuzi,,

anyway usijaree babu hata mi najua ni utani na hata kama sio utani mi sijui kurudisha mabaya ☺️😁😁 napenda kusamee na kusahau,,,,

haya byee jioni njema
 
hebu usinichekeshe, nioneshe ushawahi kuchart na nani kuhusu kukuletea kiko kwa charting za majuzi,,

anyway usijaree babu hata mi najua ni utani na hata kama sio utani mi sijui kurudisha mabaya ☺️😁😁 napenda kusamee na kusahau,,,,

haya byee jioni njema
Ilikuwa ni utani tu Mjukuu...

Hiyo jioni njema vipi wakati hujaniletea kiko yangu lakini, hili baridi litaniua bila kuvuta ujue 😂
 
hebu usinichekeshe, nioneshe ushawahi kuchart na nani kuhusu kukuletea kiko kwa charting za majuzi,,

anyway usijaree babu hata mi najua ni utani na hata kama sio utani mi sijui kurudisha mabaya ☺️😁😁 napenda kusamee na kusahau,,,,

haya byee jioni njema
Mhmm , hiyo I'd huwa binafsi naitania kabla hata ya kuwa na I'd yangu hii , , nafikiri umekosea 🤔
 
Back
Top Bottom