min -me
JF-Expert Member
- Jul 20, 2022
- 46,263
- 127,198
😅😅Hapa presha imepanda ujue, maana sio kunichomea hivyo utambi 😜
😅😅Hapa presha imepanda ujue, maana sio kunichomea hivyo utambi 😜
Unataka nikose hata mjukuu wa kumtuma kuniletea Kiko naona 😜
Endelea kuwategemea maana mapovu yanawatoka sio mchezo😂Naona unataka kunipandisha presha babu yako, hivi si unajua nawategema wajukuu kuniletea dawa pamoja na kiko 😂
Kununua tena jamani....hao ni wajukuu zangu kabisa na Bibi yenu, tumewalea wenyewe 😊Endelea kuwategemea maana mapovu yanawatoka sio mchezo😂
Hivi babu mjukuu mmoja unanua shingapi nijitathmini🤭
khaaaa nilikua sijaelewa kumbe ni comment zangu za kukuletea kiko ndo zinajadiliwa hapa🤣🤣🤣🤣,,, nimecheka walahKuwaagiza Kiko, ni sehemu yao kurejesha fadhila kwa babu yao...
Hapana sio wewe bhana ni utani tukhaaaa nilikua sijaelewa kumbe ni comment zangu za kukuletea kiko ndo zinajadiliwa hapa🤣🤣🤣🤣,,, nimecheka walah
Babu Grahams uwe unatoa taarifa yawa sema nini nimekoma mwanetu mi sipendagi mabifu🤣🤣🤣 wacha nitulize povu pembeni maana sijielewi,,, endelea kututafuna
au sio😂Hapana sio wewe bhana ni utani tu
Mhmm sio win , umefikiria vibaya tuau sio😂
Ulikuwa ni utani wa babu na wajukuu tu, you were not the targetkhaaaa nilikua sijaelewa kumbe ni comment zangu za kukuletea kiko ndo zinajadiliwa hapa🤣🤣🤣🤣,,, nimecheka walah
Babu Grahams uwe unatoa taarifa yawa sema nini nimekoma mwanetu mi sipendagi mabifu🤣🤣🤣 wacha nitulize povu pembeni maana sijielewi,,, endelea kututafuna
Things kwa ground hazikuhusu, na tunataniana na babu yetu siye wajukuu lol🤣khaaaa nilikua sijaelewa kumbe ni comment zangu za kukuletea kiko ndo zinajadiliwa hapa🤣🤣🤣🤣,,, nimecheka walah
Babu Grahams uwe unatoa taarifa yawa sema nini nimekoma mwanetu mi sipendagi mabifu🤣🤣🤣 wacha nitulize povu pembeni maana sijielewi,,, endelea kututafuna
Kafikiria vibaya tuUlikuwa ni utani wa babu na wajukuu tu, you were not the target
Si unajua wajukuu wakianza kumtania babu yao hawaachi hadi giza linaingia 😂
hebu usinichekeshe, nioneshe ushawahi kuchart na nani kuhusu kukuletea kiko kwa charting za majuzi,,Ulikuwa ni utani wa babu na wajukuu tu, you were not the target
Si unajua wajukuu wakianza kumtania babu yao hawaachi hadi giza linaingia 😂
na mimi naonaaaaa maana mlikosa vya kutaniana mpka mka relate na comment zangu za kuleta kiko si ndiwooo,,, mlikosa matani mengineThings kwa ground hazikuhusu, na tunataniana na babu yetu siye wajukuu lol🤣
Ilikuwa ni utani tu Mjukuu...hebu usinichekeshe, nioneshe ushawahi kuchart na nani kuhusu kukuletea kiko kwa charting za majuzi,,
anyway usijaree babu hata mi najua ni utani na hata kama sio utani mi sijui kurudisha mabaya ☺️😁😁 napenda kusamee na kusahau,,,,
haya byee jioni njema
Mhmm , hiyo I'd huwa binafsi naitania kabla hata ya kuwa na I'd yangu hii , , nafikiri umekosea 🤔hebu usinichekeshe, nioneshe ushawahi kuchart na nani kuhusu kukuletea kiko kwa charting za majuzi,,
anyway usijaree babu hata mi najua ni utani na hata kama sio utani mi sijui kurudisha mabaya ☺️😁😁 napenda kusamee na kusahau,,,,
haya byee jioni njema
kwan mi nimesema huwa hamtaniani minMhmm , hiyo I'd huwa binafsi naitania kabla hata ya kuwa na I'd yangu hii , , nafikiri umekosea 🤔
Mhmmm kiukwel umedhani vibaya sanakwan mi nimesema huwa hamtaniani min
Jamani win ni utani tu wala sio kuhusu comments zakona mimi naonaaaaa maana mlikosa vya kutaniana mpka mka relate na comment zangu za kuleta kiko si ndiwooo,,, mlikosa matani mengine